Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .

Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Aisee
 
Wapo aisee
Watu wote hawa duniani jamani
Sema kumpata ndo kipengele
Hakuna wa hivo dear ukipata hayo mawili ujue mengine kumi Hana kabisa ukipata angalau nusu ya unayoyatak bas toa sadaka πŸ˜‚
 
πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

Likishavuka magotini sio fupi tena πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mambo ya shemegi haya

Anasema vaa tujue moja
Kama fupi livuke magoti
Kama refu liguse mguu.

Siyo unavaa kama bibi.


Wakati mm nikiwa chini ya goti tayari ni fupi.

Yale nimenunua kipindi kile sijawahi vaaπŸ˜‚
Mafupi hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…