cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299





hadi akuje hapaaa. Ndo ntaridhikaaa.




hadi akuje hapaaa. Ndo ntaridhikaaa.Ule hizi Kwa iyo mahari Yako ya buku 3 unatak kuniua 🤣🤣🤣Na hizii😂🤣 Aaliyyah View attachment 2659868
Mchawii ndo wewe🤣😂, mtaalamu wa kuuma na kupuliza mshamba_hachekwi 😂🤣Intelligent businessman swaga zinafanya kazi, mtoto amekubless kapicha😁
Unajua nimecheka Hadi nimejiuma😂🤣🤣, Leo umegundua unafiki wa mshamba_hachekwi😀😀Wapi bhana wapambe nuksi
Walaaa, mbona mshamba_hachekwi na Dahan wanajua mi new begginer katika anga hizo🤣😂 AaliyyahUle hizi Kwa iyo mahari Yako ya buku 3 unatak kuniua 🤣🤣🤣
I mean no malice to nobodyAntonnia
Leo saa 4 , nataka niku suprise shogareee akeee.
Ili waja wapatee content zaidi ya kuwaweka buzzy huko PM kwao.
Zingatia muda shoooooz akee. Nakupa kitu 1 matratraa sanaaa.
Nimemic kukuchachuaa udugu akeee. Ndani ya pozi simple, ila ni
Kaa tayarii.
Ah yaani huko kwenu kuna fursa unaweza bahatika kweliIntern enyewee ndo nasubiri majibu, sometimes akili inakataa kufanya intern. Bas tafrani tupuu.
Moyo utatumia hisia zaidi ehh, wakati Akili inaenda na uhalisia 🤔🤔 teacher Jack Palladino
umetendwa nini??😂

Unahisi na nani?🤣umetendwa nini??😂
Santrooo sana udugu akeeeee nitakua makini sana kuzingatia mudaaa navenye nimemiss kigodoro auweeeee 4 kamili nipo hapaaa!!Antonnia
Leo saa 4 , nataka niku suprise shogareee akeee.
Ili waja wapatee content zaidi ya kuwaweka buzzy huko PM kwao.
Zingatia muda shoooooz akee. Nakupa kitu 1 matratraa sanaaa.
Nimemic kukuchachuaa udugu akeee. Ndani ya pozi simple, ila ni
Kaa tayarii.
Dear nimeona ndinga, mikono inawasha kukanyaga mafutaaa.
Nije nikuendeshee??



bahati mbaya MD mwenyewe imebidi ashike usukanisimtaji unataka nimsumbue mama wa watu😂Unahisi na nani?🤣
Mtaje yupo humu!😅simtaji unataka nimsumbue mama wa watu😂
sema nimeunganisha dots..... whisky...😂 afu ukapost hicho kijembe nikajua tayari😂Mtaje yupo humu!😅