Selfika na JF: Snap it. Show it

mshamba_hachekwi
Waambie ndugu zako 3 mzuka k.mam.ae zao ๐Ÿ˜กLeo nimewachukia ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ

Since day moko hapa mjini nishaambiwa ikifika saa 12 usiende mjini na mkoba ๐Ÿคฃ
Na ukienda nae macho yako yawe mkobani muda wote.

Leo bana mepanda zangu town,, sikutegemeea kukawia sana so nikaenda na toyo go& return.
Wakati wa kurudi Njiro sasa, toyo si akapita short cut ya bia!! The Don huku mpk bwawani aje kutokea reli.
Basi tumefika bwawani katikati,. Ikatokea toyo ina watu wawili inatusogelea.
Ni ghafla bin vuuu toyo wangu anaambiwa asimame, mara mkoba ukavutwa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Uzuri nishapewaga tahadhari so mkoba wangu nilikuwa nimeushika tight sana tokea mwanzo.
Wakashindwa kuutoa, toyo yao ikaayumba, yetu ikapepea.

Namshukuru Mungu tumekuwa salama.
Toyo wangu ametetemeka mpk huruma, ananishangaa mm kwanini sijapata mshtuko.


Lenie
Ka aifon kangeenda na leo ๐Ÿคฃ
Ningelog in kwa mtu kesho nikafungilie mbali kama kale ka mwanzo.
 
Pole sana
 
Daahh..dogo pole saรฑa dear Mpk umetukanaa
Hawa wezi wa kwenye boda nuksiii...mi nishakoswakoswa wakatukana bonge la tusiii
 
Daahh..dogo pole saรฑa dear Mpk umetukanaa
Hawa wezi wa kwenye boda nuksiii...mi nishakoswakoswa wakatukana bonge la tusiii
Nasikiaga tu story zao hao 3 mzuka.. leo sasa uso kwa uso ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mwaka wa 4 huu mjini af wao wanataka kufanya niichukie Arusha. Mbwa kabisa haya machalii un educated!!.
Ndio maana watu wa Dar wanayaambia yanatatuliwa rinda na wazungu sbb ni kama hizi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nirudi kwenye hiace/ indrive gari. Boda za jioni mie basiiiii
 
Uwiii ingeenda tena na leo aki ningekushauri tu urudi kwenye tecno๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Aisee pole sana, me ningekua natetemeka hadi muda huu maana experience ya wezi ni balaa.

Ila hao boda boda vibaka wanafanya bodaboda wote waonekane wahuni
 
Pole sana Miss Depal naona maeneo ya Mwananyamala wanafanya mpaka practical jinsi ya kupora maana wanakuwa watatu halafu wana practice ๐Ÿ˜‘๐Ÿ˜‘๐Ÿ˜‘
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Watu wa pande hizo wana tamaa sana kipindi fulani nilikuwa Zanzibar kuna Mmasai alitatuliwa na Waitaliano na Nnyaa kibao baada ya kuishobokea 100 dola mpaka alikufa.
 
Serious?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hatari sana yaani Upambavu hauna bei na hapo wanakuwa wametoka kuvuta bangi na mazungumzo yao sasa hivi ni mkataba wa Bandari utadhani hata zile boti za Azam kwenda Zanzibar wameshawahi kupanda. ๐Ÿ˜‚
 
Polesana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ