Dada unawapenda weupee??
Kuna mkaka alikua ananifatiliaa, ni mweupe ila mie hanifikii, nikamjibu ukweli, mie mwanaume mweupee hapanaa sihitaji, sasa wee mweupe, mie mweupe, utofauti uko wapi??
Nawataka weusiii, tukiwa Pa1 ni km coca na fanta. Woiiiiih