K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 14, 2023 #340,921 Dr Lizzy said: Niambie Click to expand... nilijikuta tu nimekuita baada zoom za hapa na pale Sent using Jamii Forums mobile app
Dr Lizzy said: Niambie Click to expand... nilijikuta tu nimekuita baada zoom za hapa na pale Sent using Jamii Forums mobile app
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 Jun 14, 2023 #340,922 Tinsley said: Hakika aisee Umeamkaje ??? Click to expand... Haaha Nimemka niko mzima wa afya namshukuru aliye juu Vipi nawe Tinsley ?
Tinsley said: Hakika aisee Umeamkaje ??? Click to expand... Haaha Nimemka niko mzima wa afya namshukuru aliye juu Vipi nawe Tinsley ?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 14, 2023 #340,923 Depal said: Haina majoto aisee mshamba_hachekwi View attachment 2656702 Click to expand... Wuuuuuu mkoa wa friji
Depal said: Haina majoto aisee mshamba_hachekwi View attachment 2656702 Click to expand... Wuuuuuu mkoa wa friji
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 14, 2023 #340,924 Mzee wa kupambania said: Haaha Nimemka niko mzima wa afya namshukuru aliye juu Vipi nawe Tinsley ? Click to expand... Kumekucha aisee Nipo poa pia
Mzee wa kupambania said: Haaha Nimemka niko mzima wa afya namshukuru aliye juu Vipi nawe Tinsley ? Click to expand... Kumekucha aisee Nipo poa pia
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Jun 14, 2023 #340,925 Dr Lizzy said: View attachment 2656705 Click to expand... White is your fav 😍 Next time pakaa red for me 😒
Dr Lizzy said: View attachment 2656705 Click to expand... White is your fav 😍 Next time pakaa red for me 😒
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Jun 14, 2023 #340,926 Lenie said: Wuuuuuu mkoa wa friji Click to expand... 😃😃 njoo ugandishe mabarafu
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,858 Jun 14, 2023 #340,927 Tinsley said: Kumekucha aisee Nipo poa pia Click to expand... Inapendeza kusikia hivyo
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,081 Jun 14, 2023 #340,928 Depal said: Haina majoto aisee mshamba_hachekwi View attachment 2656702 Click to expand... bila kuzimua kidogo🍺 hutoboi....
Depal said: Haina majoto aisee mshamba_hachekwi View attachment 2656702 Click to expand... bila kuzimua kidogo🍺 hutoboi....
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jun 14, 2023 #340,929 Dr Lizzy said: View attachment 2656705 Click to expand... Safi. Sent using Jamii Forums mobile app
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Jun 14, 2023 #340,930 mshamba_hachekwi said: bila kuzimua kidogo🍺 hutoboi.... Click to expand... 🤣🤣 ndio maana huku watu waleviii
mshamba_hachekwi said: bila kuzimua kidogo🍺 hutoboi.... Click to expand... 🤣🤣 ndio maana huku watu waleviii
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 14, 2023 #340,931 Manyanza said: Yawezekana analo we never know Sasa hivi umuite akuelekeze nini ? Wakati kuna Technical staffs na hawafanyi kazi virtually kama enzi zile ? Click to expand... lazima awe nalo, analo swampia majukwaani woiiiiiih.
Manyanza said: Yawezekana analo we never know Sasa hivi umuite akuelekeze nini ? Wakati kuna Technical staffs na hawafanyi kazi virtually kama enzi zile ? Click to expand... lazima awe nalo, analo swampia majukwaani woiiiiiih.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jun 14, 2023 #340,932 cocastic said: G alinitorosha eti. Click to expand... Chaa😂 G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli.
cocastic said: G alinitorosha eti. Click to expand... Chaa😂 G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 14, 2023 #340,933 Saint Anne said: Chaa G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli. Click to expand... ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo. Iwe kwa ke au me.
Saint Anne said: Chaa G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli. Click to expand... ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo. Iwe kwa ke au me.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jun 14, 2023 #340,934 cocastic said: ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo. Iwe kwa ke au me. Click to expand... Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi Yaani uchafu unaonekana. Huyo kaka ni msafi jamani... Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route. Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia.
cocastic said: ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo. Iwe kwa ke au me. Click to expand... Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi Yaani uchafu unaonekana. Huyo kaka ni msafi jamani... Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route. Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia.
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,999 Reaction score 48,501 Jun 14, 2023 #340,935 Saint Anne said: Chaa😂 G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli. Click to expand... 😂😂😂
Saint Anne said: Chaa😂 G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli. Click to expand... 😂😂😂
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jun 14, 2023 #340,936 Aaliyyah said: Click to expand... Auntie wanaume weupe wasafi wana nafasi yao peponi.
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,081 Jun 14, 2023 #340,937 Saint Anne said: wanaume weupe wasafi wana nafasi yao peponi. Click to expand... na weusi wasafi vipi....
Saint Anne said: wanaume weupe wasafi wana nafasi yao peponi. Click to expand... na weusi wasafi vipi....
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 14, 2023 #340,938 Saint Anne said: Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi Yaani uchafu unaonekana. Huyo kaka ni msafi jamani... Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route. Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia. Click to expand... Nilishukia shekilango, mbona nilikuaga hukusikia? Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Anne said: Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi Yaani uchafu unaonekana. Huyo kaka ni msafi jamani... Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route. Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia. Click to expand... Nilishukia shekilango, mbona nilikuaga hukusikia? Sent using Jamii Forums mobile app
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jun 14, 2023 #340,939 Saint Anne said: Chaa😂 G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli. Click to expand... Kama jamaa yako mweusi,na akaona hii,dah ,akae kwakutulia
Saint Anne said: Chaa😂 G anatuharibia mtoto jamani. Leo nilipanda na kaka ananukia huyo Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote. Mweupeee,msafiiiii Mungu awabariki wanaume weupe wasafi. Mnavutia kwa kweli. Click to expand... Kama jamaa yako mweusi,na akaona hii,dah ,akae kwakutulia
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jun 14, 2023 #340,940 mtu chake said: Kama jamaa yako mweusi,na akaona hii,dah ,akae kwakutulia Click to expand... Ni mweupe Msafi pia, kwahiyo nilivyomuona huyo,nikamkumbuka.
mtu chake said: Kama jamaa yako mweusi,na akaona hii,dah ,akae kwakutulia Click to expand... Ni mweupe Msafi pia, kwahiyo nilivyomuona huyo,nikamkumbuka.