Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Udugu umesafiri hata hujaniagaSawa nakusikiliza simu hii ngumu kwangu ata maandishi si unaona makubwa ata mtu wapembeni anasoma vzr
Udugu umesafiri hata hujaniagaSawa nakusikiliza simu hii ngumu kwangu ata maandishi si unaona makubwa ata mtu wapembeni anasoma vzr
Nakwambia Mungu anakuona wewe haya na nakuona kabisa af sponsor wako nasikia kawa professor ahahahahahkwani hata akili enyewe ninazo sasa za kuzitoaa? Woiiiiiiih
Namba zimebak kwenye icloud hii simu aina nambaa ata moja mtu akipiga namuuliza nan au nasikilizia sout 🙏 ila nilikuchel pm nikaona kimya nikajua shemji kachukua simu ahahahahahUdugu umesafiri hata hujaniaga
Sponsor wangu?? Professor?? Mbna sina taarifa, kheeh makubwaa tenaaa,Nakwambia Mungu anakuona wewe haya na nakuona kabisa af sponsor wako nasikia kawa professor ahahahahah






Na aliichukua kweli😂Namba zimebak kwenye icloud hii simu aina nambaa ata moja mtu akipiga namuuliza nan au nasikilizia sout 🙏 ila nilikuchel pm nikaona kimya nikajua shemji kachukua simu ahahahahah
Sio poa natumaini haujaniangusha usiku wa jana au ulikwea mnazi? 🤔Hatari leo palichafuka cio poa usku wa leo siwez lala pekee angu wamenipagawisha sana warembo wa selfika
Ahhaha kumbe ajakuambia?Sponsor wangu?? Professor?? Mbna sina taarifa, kheeh makubwaa tenaaa,
Duuh kumbee ndo mambo enyewee, bas kazii ipoo.
Sijajua kazi itaisha lini ila nahisi wiki ijayo maanaa nazunguka kanda ya ziwa yoteNa aliichukua kweli😂
Unarudi lini sasa tufanye lile jambo letu
Ahhaha kumbe ajakuambia?





nimechekaa sanaaa, wallah JF sihami kamwee.






Ahahhahah inyoj life af juzi nilikutana na rafiki yako kumbe now anatumia car ya audi kadevelop sananimechekaa sanaaa, wallah JF sihami kamwee.
Ko sponsor wangu mie, akuambie wee afu asiniambie mie??
Duuuh kumekuchaaaaah, haya hongereni wee na huyo sponsor.
![]()
Utaenjoy sanaSijajua kazi itaisha lini ila nahisi wiki ijayo maanaa nazunguka kanda ya ziwa yote
Ahahhaha na reborn yangu imeangukia nikiwa uku ahahahUtaenjoy sana
Ahahhahah inyoj life af juzi nilikutana na rafiki yako kumbe now anatumia car ya audi kadevelop sana





kumekuchaaaa!!! Ungemuomba lift ili roho yako iwee kwatuu. Au ulikua anajistukiaaaa??Hapana ahahah alikuwa bado na kazi nilimtoa kwenye kazi so ikawa ngumu ahahha angekuwa yupo free ningemwambia embu nipeleke nyumban sem now kawa good sanakumekuchaaaa!!! Ungemuomba lift ili roho yako iwee kwatuu. Au ulikua anajistukiaaaa??
Basi poaaaah!!!Hapana ahahah alikuwa bado na kazi nilimtoa kwenye kazi so ikawa ngumu ahahha angekuwa yupo free ningemwambia embu nipeleke nyumban sem now kawa good sana
🤣🤣 kwani si kweliUtajua hujui leo😂
Si ulijifanya mwamba
🤣🤣 wapi tunda?Watumiaji wa Samsung galaxy note how mnachukua screen shot sielewe naomba msaada
Bro mbona una haribu mipango🤣😂😂, hiyo selfie niitoe wapi.Huyu jamaa nampata vzr😅
Kuna ile ticha ili nifanya niichukie math, kiss tu alikuwa ananijua personal life.Ndo penyewe hapo Shimo aka crater.
Maticha wanaona watoto walivyo vilaza basi wanadhani watakuwa vilaza foreva.



