Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lol kumbe kapelekwa Ilboru uduguu akee Nilitaka kushangaa aseee..afu since primary kasoma kayumbaaaa!!

Huyo ndo alikua marking guide yanguu nilikua hata sijichoshiiiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!Nikichoka kufundisha ye ndio nampa Kazi ya kuwaelewesha vilazaaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Mie sijui nilikua na wenge lipi hata nikaona kapelekwa Arusha na hata sikuwaza vya ya kike au kiume[emoji23][emoji23][emoji23]!
Kapelekwa ilborians, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akakazee mnooo, aibukie Mliman, au Muhimbili.
 
Maana kinjunga kiwe kimechanika chanika halafu huna hela unaonekana kibaka[emoji23][emoji23][emoji23]

Juzi Eng. Hersi kavaa suruali imechanika wala hajaonekana kama mhuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa yaan. Umejuajee dear
 
Nakwambia Mungu anakuona wewe haya na nakuona kabisa af sponsor wako nasikia kawa professor ahahahahah
Sponsor wangu?? Professor?? Mbna sina taarifa, kheeh makubwaa tenaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh kumbee ndo mambo enyewee, bas kazii ipoo.
 
Namba zimebak kwenye icloud hii simu aina nambaa ata moja mtu akipiga namuuliza nan au nasikilizia sout šŸ™ ila nilikuchel pm nikaona kimya nikajua shemji kachukua simu ahahahahah
Na aliichukua kwelišŸ˜‚

Unarudi lini sasa tufanye lile jambo letu
 
Ahhaha kumbe ajakuambia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaaa, wallah JF sihami kamwee.
Ko sponsor wangu mie, akuambie wee afu asiniambie mie??
Duuuh kumekuchaaaaah, haya hongereni wee na huyo sponsor.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaaa, wallah JF sihami kamwee.
Ko sponsor wangu mie, akuambie wee afu asiniambie mie??
Duuuh kumekuchaaaaah, haya hongereni wee na huyo sponsor.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahhahah inyoj life af juzi nilikutana na rafiki yako kumbe now anatumia car ya audi kadevelop sana
 
Back
Top Bottom