Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Huyu jamaa nampata vzr😅
Naisubiria kuleee😉
Nishawishi....😁😁😁Naisubiria kuleee😉
Unakumbuka ile ahadi yangu ya kwenda kazimoto eeh😊Nishawishi....😁😁😁
Una muda gani na hiyo simu?Watumiaji wa Samsung galaxy note how mnachukua screen shot sielewe naomba msaada
Leo siku ya piliUna muda gani na hiyo simu?
Leo siku ya pili
Mbona mzee inqkuja kama unataka kuzima simu
Labda uangalie vizuri.Mi nimeona Arusha au ngoja niangalie vizuree!
Kuwa makini kijana😅Basi nimeweza ahahhahah na emoji nazipata wapi mzee
Kapelekwa ilborians,Lol kumbe kapelekwa Ilboru uduguu akee Nilitaka kushangaa aseee..afu since primary kasoma kayumbaaaa!!
Huyo ndo alikua marking guide yanguu nilikua hata sijichoshiiiii!Nikichoka kufundisha ye ndio nampa Kazi ya kuwaelewesha vilazaaa
Mie sijui nilikua na wenge lipi hata nikaona kapelekwa Arusha na hata sikuwaza vya ya kike au kiume!




Njoo na rafiki ako mwingnee piaKwahyo nije na kondom au anakutosha huyo




Sawa nakusikiliza simu hii ngumu kwangu ata maandishi si unaona makubwa ata mtu wapembeni anasoma vzrKuwa makini kijana😅
Maana kinjunga kiwe kimechanika chanika halafu huna hela unaonekana kibaka
Juzi Eng. Hersi kavaa suruali imechanika wala hajaonekana kama mhuni



kabisaaa yaan. Umejuajee dearIla unapendaa kujitoaa akili weweNjoo na rafiki ako mwingnee pia![]()
Ila unapendaa kujitoaa akili wewe


kwani hata akili enyewe ninazo sasa za kuzitoaa? Woiiiiiiih