Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lakini bado watu wataondoka then utabaki pekeyyako
hio ishu ya kutapeliwa na mikopo sio tatizo zima..... inaonekana una matatizo mengine kwenye maisha yako, hii ishu ya kutapeliwa ndo kama imeongeza maumivu..... tafuta msaada kwa wataalam wa kisaikolojia au watu wa kiroho....
huku jf hakuna mtu atakuelewa 100%.... sonona is real, and it kills
 
The citizens
[emoji170][emoji170]
Hallah

Tuna jambo letu leo pale Istanbul,[emoji120][emoji120]
Why not us???

UEFA final.
FB_IMG_16863856577096374.jpg
 
The citizens
[emoji170][emoji170]
Hallah

Tuna jambo letu leo pale Istanbul,[emoji120][emoji120]
Why not us???

UEFA final.View attachment 2652326
Yani mpira wa ulaya ulivo hautabiriki utashangaa Inter Milan ndio wanabeba binafsi natamani leo Man City waweke rekodi yao asee, baada ya hapo next season naiombea PSG nayo waweke rekodi yao wakiwa na Mbappe kama hataondoka dirisha hili, maana naona ndio Lengo lake kuacha historia pale Paris ndio maana hataki kusepa
 
Back
Top Bottom