Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Why me

Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti

Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda

Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura end of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia
Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei
tafta msaada wa kiroho kijana usije ukafanya maamuzi magumu..... unaonekana umefikia breaking point
 
Why me

Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti

Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda

Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura end of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia
Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei
Karibu kwanza tule chungwa huku tukijadiliana.
Why always you.
 
Lakini bado watu wataondoka then utabaki pekeyyako
hio ishu ya kutapeliwa na mikopo sio tatizo zima..... inaonekana una matatizo mengine kwenye maisha yako, hii ishu ya kutapeliwa ndo kama imeongeza maumivu..... tafuta msaada kwa wataalam wa kisaikolojia au watu wa kiroho....
huku jf hakuna mtu atakuelewa 100%.... sonona is real, and it kills
 
Back
Top Bottom