cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Kuhusu nn??Hii issue ya shishi vipi? Chimbo wanasemaje? Ni kweli?
Kuhusu nn??Hii issue ya shishi vipi? Chimbo wanasemaje? Ni kweli?
Nimeona kwa yule dada wa marekani kule insta, kaongea mambo magumu kuhusu shishi na kiongozi flanKuhusu nn??
Imekuwaje shemeji 🤣🤣🤣They hate what they dont understand...🙌
U got the msg right?😉Imekuwaje shemeji 🤣🤣🤣
Sasa kumbe umeona, unaniuliza mie tena nn??Nimeona kwa yule dada wa marekani kule insta, kaongea mambo magumu kuhusu shishi na kiongozi flan



mwana sheria wangu ndo kwanza anajiandaa na UE ya mwisho,😂😂 I can relate..U got the msg right?😉
Miss you TinaaMiss u cocaa
😉👊😂😂 I can relate..
Sasa kumbe umeona, unaniuliza mie tena nn??
mwana sheria wangu ndo kwanza anajiandaa na UE ya mwisho,
Samahani sana.









huu mtego huwezi kuingia. Nilikua nakutega ujichanganye







Mnywani Kama mnywani!Miss you Tinaa
Chizi weweUna mwandiko mzur kama kombe la USM ALGER

huu mtego huwezi kuingia. Nilikua nakutega ujichanganye
Mjanja sana weweee umeutegua mtego
Hapo huwezi kuweka story za chimbo wala wapi sijui, kimyaaaa![]()




naomba uniwacheee, huko chimbo kuna mtu kauletaaa mbna nli log out fastaa, sitaki ushahidi mie akuuuh.
. 





Hata ku-like tu labda uwe na roho ngumu mnooo. Mimi nilikua natetemeka kabisa, hata kusoma tu nilikua naona kuna watu watanitafuta kwa nini nimesomanaomba uniwacheee, huko chimbo kuna mtu kauletaaa mbna nli log out fastaa, sitaki ushahidi mie akuuuh.
Kwan hata nilivyo usoma kwa da mange nikawa hadi naziba macho, isije cctv ya hackers ikanionaa. Ule ubuyui umevuka viwangooo.
Mmmmh siuwezii kwanza hata siutakiii, napenda ubuyuu ule wa motoo km sio bomu la.
Wee kuwezaaaa???
Mie nilisoma nkafunga app, na siingii week nzima had chimbo pia,Hata ku-like tu labda uwe na roho ngumu mnooo. Mimi nilikua natetemeka kabisa, hata kusoma tu nilikua naona kuna watu watanitafuta kwa nini nimesoma
😆😆😆😆Jaman huo mguu wa kulia sioni vizuri😊
Sawaaa ngoja nikucheki kuleee😆😆😆😆
Nitumie ka-wide lens kamoja uone balaa lake!!😉