Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Una mwandiko mzur kama kombe la USM ALGER
Chizi wewe
[emoji23]

Kama kombe letu
Screenshot_20230609-190801.jpg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huu mtego huwezi kuingia. Nilikua nakutega ujichanganye
Mjanja sana weweee umeutegua mtego
Hapo huwezi kuweka story za chimbo wala wapi sijui, kimyaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba uniwacheee, huko chimbo kuna mtu kauletaaa mbna nli log out fastaa, sitaki ushahidi mie akuuuh.

Kwan hata nilivyo usoma kwa da mange nikawa hadi naziba macho, isije cctv ya hackers ikanionaa. Ule ubuyu umevuka viwangooo.

Mmmmh siuwezii kwanza hata siutakiii, napenda ubuyuu ule wa motoo km sio bomu la [emoji3518]. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee kuwezaaaa???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba uniwacheee, huko chimbo kuna mtu kauletaaa mbna nli log out fastaa, sitaki ushahidi mie akuuuh.

Kwan hata nilivyo usoma kwa da mange nikawa hadi naziba macho, isije cctv ya hackers ikanionaa. Ule ubuyui umevuka viwangooo.

Mmmmh siuwezii kwanza hata siutakiii, napenda ubuyuu ule wa motoo km sio bomu la [emoji3518]. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee kuwezaaaa???
Hata ku-like tu labda uwe na roho ngumu mnooo. Mimi nilikua natetemeka kabisa, hata kusoma tu nilikua naona kuna watu watanitafuta kwa nini nimesoma
 
Hata ku-like tu labda uwe na roho ngumu mnooo. Mimi nilikua natetemeka kabisa, hata kusoma tu nilikua naona kuna watu watanitafuta kwa nini nimesoma
Mie nilisoma nkafunga app, na siingii week nzima had chimbo pia,

Emu tuyaache bhana, jion njema.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba uniwacheee, huko chimbo kuna mtu kauletaaa mbna nli log out fastaa, sitaki ushahidi mie akuuuh.

Kwan hata nilivyo usoma kwa da mange nikawa hadi naziba macho, isije cctv ya hackers ikanionaa. Ule ubuyu umevuka viwangooo.

Mmmmh siuwezii kwanza hata siutakiii, napenda ubuyuu ule wa motoo km sio bomu la [emoji3518]. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee kuwezaaaa???
Dume zima linaandika da mange, hovyoo..
 
Back
Top Bottom