Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Klayanti kasema kula sio lazima sana....tutakula vizuri mbinguni!😁😁Unanionea 🤣🤣
Yan siku hizi tunachelewa kula lunch, na bado tunakula tu snacks
Klayanti kasema kula sio lazima sana....tutakula vizuri mbinguni!😁😁Unanionea 🤣🤣
Yan siku hizi tunachelewa kula lunch, na bado tunakula tu snacks
Unalia umepigwa??😁🥺🥺🥺🥺
mkuu ile ishu vipi uvumilivu unanishinda😅6:00
Nipo Mbeyaaa mnywanii ila Nyakiboo wapo vyediiii sanaaa!!
Na weqe ukichangia
Dume zima linaandika da mange, hovyoo..naomba uniwacheee, huko chimbo kuna mtu kauletaaa mbna nli log out fastaa, sitaki ushahidi mie akuuuh.
Kwan hata nilivyo usoma kwa da mange nikawa hadi naziba macho, isije cctv ya hackers ikanionaa. Ule ubuyu umevuka viwangooo.
Mmmmh siuwezii kwanza hata siutakiii, napenda ubuyuu ule wa motoo km sio bomu la.
Wee kuwezaaaa???
Amekataa et anapita ofisin nashuka chini kakimbia kaona nitamwambia akaninunulie lunch 😂😂
Umenitorok leoo sijapenda kabisa uduguUdugu Mwachiluwi mzee baba kashatoa ruhusa hivyo, nakusubiri unipe ramani
Nimekufananisha maeneo ya itende! kumbe kweli eh hahahaNipo Mbeyaaa mnywanii ila Nyakiboo wapo vyediiii sanaaa!!
Hapana hao sijawaona kabesaaa!!
Nipe muda,mkuu ile ishu vipi uvumilivu unanishinda😅
sawa mkuu, wacha nitulie nisionekane pushover....Nipe muda,
Weeee sema kweli 😁😁😁😁!Nimekufananisha maeneo ya itende! kumbe kweli eh hahaha
Aya sogea hapa mbeya carnival sasa
Udugu si ulikua busy leoUmenitorok leoo sijapenda kabisa udugu
Hongereni watani
Mi nimeona upaja tu huo 😍Depal karibu lunch 😆View attachment 2651305
Nilitaka kutorokaUdugu si ulikua busy leo
Nilikuona🤣🤣Nilitaka kutoroka
Ase 😂
Ni filter tu!☺️Mi nimeona upaja tu huo 😍
Your thighs they got me hypnotized
Vijana wanamsemo"tafuta hela"ngoja nizisakeUnalia umepigwa??😁