sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Tunahitaji upendo kutoka Kwa wote.Au ndo ile akinipenda mama na baba inatosha![]()
Mama baba
Mke
Gf
Hahah side chick
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji upendo kutoka Kwa wote.Au ndo ile akinipenda mama na baba inatosha![]()
Bora kidogo tuishie hapo kwa mkeTunahitaji upendo kutoka Kwa wote.
Mama baba
Mke
Gf
Hahah side chick
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hapo ongea nao tu kiutu uzima
Amina!Kheri ikawe kwetu sote🙏💪
Wapeni hela jamani. Acheni ubahiri..Bora kidogo tuishie hapo kwa mke
Ha gf na side chick wako kimasilahi sana wanakupukutisha usipokuwa makini![]()
Hawafai hao wana mabwana kibao akitoka mtu anaingia mtu na wanajua sana kutupanga. Hao mwisho wa wiki huwa wanafunga hesabu ya walichoingiza kupitia mabwana zaoWapeni hela jamani. Acheni ubahiri..
Mnataka Nani awahudumie ma GF wenu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamerudi na kombe la medali 😅Amefika swalama😂😂😂
Hahah mzee wa kupambania hiyo ni win win situations.Hawafai hao wana mabwana kibao akitoka mtu anaingia mtu na wanajua sana kutupanga. Hao mwisho wa wiki huwa wanafunga hesabu ya walichoingiza kupitia mabwana zao
Ben ni mentor wa Warren BuffetUnajua been Mara ya kwanza- Ali mnyima kazi Warren, Tena Warren alitaka fanya kazi bila kulipwa😂😂
👉Been aliona vission ndani ya Warren, so akawa ana insist Jamaa aji tegemeee- later walifanya kazi wote
Hahaa ni win win situations kama unaona value for moneyHahah mzee wa kupambania hiyo ni win win situations.
Nyinyi si mnapewa papuchi tena mnawalia mkongo kabisaa na alkasusu.
Wapeni pesa zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema nilifaidi 😅😅Hatari sana wale viumbe unaweza ukashangaa yeye unamtimizia malengo yake wewe yako hauyafikii 😅😅😅
Totoz tundu kama hiyo anaichapa chapa na takoz lazima ufaidi 😋Sema nilifaidi 😅😅
ndani ukiingiaa inaaanza kukukatika kama janemena 😅😅😅 au ile toto ya jejeTotoz tundu kama hiyo anaichapa chapa na takoz lazima ufaidi 😋
Maziwaa kwa afyaaaaa !! Safi sanaaa babu!!View attachment 2647594
Ni rahisi Kunywa Castle lite/Bingwa au John Walker kuliko Maziwa 😜
Hapa najaribu kuona kama nitafikisha lita 200 zinazotakiwa kunyweka kwa Mwaka mzima.
Hello Tuesday 🥂
Karibu tena mkuu sie bado tupo sanaa☺️!Nipo mkuu.
Nikipata kanafasi siachi kupita humu 😊
Naona hadi avatar umeshabadilisha. Naona kama nimepitwa na mengi sana humuKaribu tena mkuu sie bado tupo sanaa☺️!