Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hawafai hao wana mabwana kibao akitoka mtu anaingia mtu na wanajua sana kutupanga. Hao mwisho wa wiki huwa wanafunga hesabu ya walichoingiza kupitia mabwana zao
Hahah mzee wa kupambania hiyo ni win win situations.

Nyinyi si mnapewa papuchi tena mnawalia mkongo kabisaa na alkasusu.

Wapeni pesa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua been Mara ya kwanza- Ali mnyima kazi Warren, Tena Warren alitaka fanya kazi bila kulipwa😂😂
👉Been aliona vission ndani ya Warren, so akawa ana insist Jamaa aji tegemeee- later walifanya kazi wote
Ben ni mentor wa Warren Buffet

Ndio maana baadhi ya investors wakubwa duniani husema Think like Benjamin Graham and invest like Warren Buffet
 
Hahah mzee wa kupambania hiyo ni win win situations.

Nyinyi si mnapewa papuchi tena mnawalia mkongo kabisaa na alkasusu.

Wapeni pesa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa ni win win situations kama unaona value for money

Maana unaweza ukakaa chini kupiga hesabu ukaona vizinga haviendani na unachopewa, hapo ni hit and run nduuki hutazami nyuma 🤣🤣🤣
 
20230606_081840.jpg

Ni rahisi Kunywa Castle lite/Bingwa au John Walker kuliko Maziwa 😜

Hapa najaribu kuona kama nitafikisha lita 200 zinazotakiwa kunyweka kwa Mwaka mzima.

Hello Tuesday 🥂
 
Back
Top Bottom