Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
Uyu itakuwa wa wapi 😂😂aisee mkew National Anthem hajui kupika jamaa atakuwa anakula kwa watu kila siku🤣
Uyu itakuwa wa wapi 😂😂aisee mkew National Anthem hajui kupika jamaa atakuwa anakula kwa watu kila siku🤣
Una nini cha kumwambia😂😂National Anthem mke wangu nilikaa nae sana jikoni kumsuport kupika kupitia mtandao ajifunz kupika vyakula vya kidhunguuu
Mwachiluwi 😬😬😬
Mweh Kamera tyuuuu mnywanii... Weeeeeehh Mbantyuu anaongoza 1-5 Hakuna mwingineee🗣️🗣️🗣️Mnywani mzigo umeongezeka kwa speed ya 5G sio poa
Bantu Lady nafasi yako ipo mashakani unakaribia kukamatwa huku na tonnia
Huyoo sio mimii G mie cheusi ile tiiiiiiihh😊shangazi kumbe una rangi ya mtume🤣 nilikuw najua ni cheusi😬😬😬
afu kitu laini Kama sufiii!Mweh Kamera tyuuuu mnywanii... Weeeeeehh Mbantyuu anaongoza 1-5 Hakuna mwingineee!
Wapiii mnywaniii ngozi ka chura hiii😁😁😁😊!afu kitu laini Kama sufiii!
we fala nakula kwanz ngoja nishib. Ila namwambia kuwa mke wangu anajua kupika 😬😬Una nini cha kumwambia😂😂
haha wa Moshi huko uchaganiUyu itakuwa wa wapi 😂😂
Kitu teke teke Kama shostito Bantu LadyWapiii mnywaniii ngozi ka chura hiii😁😁😁😊!
Kachumbaro typhodwe fala nakula kwanz ngoja nishib. Ila namwambia kuwa mke wangu anajua kupika 😬😬View attachment 2645135
Tujazeee tujazeee mnywanii weee tujaze tyuuuu😊😊
Zigo hili nikilipata naanzaje kuliachia kizembe zembe Mimi chino!!Tujazeee tujazeee mnywanii weee tujaze tyuuuu😊😊
Udugu finalist, hebu nitafutie connection bas. Nisikae jobless![]()


natoa wapi connection mimiNa chachandu ya monie pembeni 😄😄
Nimeona pesa naomba 20000
We unamuonaje kwa mfano cheusi ni wale mananiliuuu wako unaokuwaga nao,shangazi kumbe una rangi ya mtumenilikuw najua ni cheusi
![]()
Ulitaka nimsifie nani sasa zaidi yake cheupe dawa 😋😋😋😋😋 na hapo yupo bush angekuja huku mjini sasa ingekuwa bienbyurifuu..... ndo maana mdogo wangu YE67NBE kapagawa 😂