National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
nipitishie ID yake, nifungulie ma German shepherd pamoja na Bull dog π π π π hadi kielewekee.. achague moja kuifuta account yangu au aseme YES I DO π πkuna mod wa kike kanichimba mkwara aisee π π
Palina huyo haponipitishie ID yake, nifungulie ma German shepherd pamoja na Bull dog π π π π hadi kielewekee.. achague moja kuifuta account yangu au aseme YES I DO π π
Hadi nipate motisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] urembo huuwezi, hadi umotivotiwe?? Woiiiiiiih
Daima mbele [emoji169][emoji172]Huyo huwa anapotea tukishinda. Na akirudi ID anabadili. Tuombe tutashinda. [emoji169][emoji172]
π π π π π swala la mda tu.. ingawa patachimbika sanaaa hiyoo sheria ikiletwaa na kupitishwaa . maana si mnataka haki sawa 50/50Sitakubali napenda uhai wangu,Wanawake tunaweza kubali kuwa wake zaidi ya mmoja ila nyinyi labla mkufe mzaliwe upya π¬
Hebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.[emoji28][emoji28][emoji28] kama kawa na kila kheri ile ya vodacom naona maji marefu sijakutonyaaa
Uko hospitali gani Dodoma au ile ya Tanga?
Vodacom makao makuu maisha yamelala kibongo kibongooo pesa ipo π π π πHebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.
Kuna mtu niliwahi kaa nae yeye aliwahi kuwa Voda makao makuu, alisema kuna mtonyoo balaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Parachute hii ya Nazi, iko kwenye kopo.ka gallon ka blue'?? Harufu yake unaiweza?? Mie imenishindaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikuuzie na ID kabisaa.Nimeipenda hii
Naona Unajitekenya na kucheka mwenyewe! !!Wanao mjua intelli wa sasa, wanaelewa kuwa huwa natoa kitu kilicho Bora kutoka ndani yanguπ€
π Kama hauwezi niamini, kwa kila Ninacho fanya. Basi siwezi endelea kupanda mbegu kwenye mlimaπ€¨π
Antonnia - nime tafasiriπ€
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneee dada we nae,
Position za hela kama hizi π π πHebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.
Kuna mtu niliwahi kaa nae yeye aliwahi kuwa Voda makao makuu, alisema kuna mtonyoo balaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π₯°π₯°π₯°Parachute hii ya Nazi
Mweh nilitupia picha niko stand Singida shougaaangu!! .Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. ππ
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ rudia niko hapa dah
Aminaaaaaaaaaaahhh!Huyo huwa anapotea tukishinda. Na akirudi ID anabadili. Tuombe tutashinda. ππ
Ooh safari njema mamii. Mwenyezi Mungu awatangulie.Mweh nilitupia picha niko stand Singida shougaaangu!! .
Amina amina kubwaaa!
Kila lenye kheri kwa yangaaaππππ
[emoji23][emoji23][emoji23] yeye alitoka now yuko ktk NGOs ya kimataifa, Arusha sio haba mpunga anao anao.Vodacom makao makuu maisha yamelala kibongo kibongooo pesa ipo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mate check, unataka nifanye Nini Sasaπ€π€
mbele patamu kwa Japan ingawa wana complication vingii, ila kama unapata nafasi ya chuo kule mengine unajongeza kama upo smart unatoboa mazima[emoji23][emoji23][emoji23] yeye alitoka now yuko ktk NGOs ya kimataifa, Arusha sio haba mpunga anao anao.
Aseeeh nitonyee, mwenzio natafuta na connection ya kusepea mambelee. Yaan nikipata chance tyuuh silembi naamshaa woiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]