Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,432
- 96,808
Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. ππ
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ rudia niko hapa dah
Tukishinda leo aiseee ntaanza na haka kaputin kalikojibatiza uarabu USM ALGERNawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao.
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaonarudia niko hapa dah
Kwa Africa sheria hiyo itakuwa ngumu maana Wanaume wa huku wanakichaa cha wivu πππ π π na mume wa mtu ni ant poison.. mie nasubiri sheria ipitishwe ya nyie kuolewa na waume zaidi ya mmoja..
Lotion hata mimi sipendeleiMie kuna lotion zinauzii zinatoa jasho ukipaka, siziwezii, naweza oga afu sipaki chochote.
Itabidi unitumie niweke dp ya wasp
Una izungumziaje ndoaπ€π€Naam Naam
π π π itapitishwaa tu , si tunapenda misaadaa banaaa ... ku disturb mtu naleta tu posaaa ,π€£π€£π€£ ili mradi mnuniane basii.. sipati picha hii sheria ikipitaKwa Africa sheria hiyo itakuwa ngumu maana Wanaume wa huku wanakichaa cha wivu ππ
Nimeipenda hiihebu katafute Dp ingnee nawee,
kuna mod wa kike kanichimba mkwara aisee π πUna izungumziaje ndoaπ€π€
Nkamu umenipa hamasa..
Nimejiscrub mwili mzima na sukari+asali
Kangozi kameteleza hako nimependa
Endelea kupost mara kwa mara
Nikiona tu post yako,lazima nitafute socks na kupaka parachute kwenye viwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo huwa anapotea tukishinda. Na akirudi ID anabadili. Tuombe tutashinda. ππTukishinda leo aiseee ntaanza na haka kaputin kalikojibatiza uarabu USM ALGER
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakubali napenda uhai wangu,Wanawake tunaweza kubali kuwa wake zaidi ya mmoja ila nyinyi labla mkufe mzaliwe upya π¬π π π itapitishwaa tu , si tunapenda misaadaa banaaa ... ku disturb mtu naleta tu posaaa ,π€£π€£π€£ ili mradi mnuniane basii.. sipati picha hii sheria ikipita
nipitishie ID yake, nifungulie ma German shepherd pamoja na Bull dog π π π π hadi kielewekee.. achague moja kuifuta account yangu au aseme YES I DO π πkuna mod wa kike kanichimba mkwara aisee π π
Palina huyo haponipitishie ID yake, nifungulie ma German shepherd pamoja na Bull dog π π π π hadi kielewekee.. achague moja kuifuta account yangu au aseme YES I DO π π
Hadi nipate motishaurembo huuwezi, hadi umotivotiwe?? Woiiiiiiih
Daima mbeleHuyo huwa anapotea tukishinda. Na akirudi ID anabadili. Tuombe tutashinda.
π π π π π swala la mda tu.. ingawa patachimbika sanaaa hiyoo sheria ikiletwaa na kupitishwaa . maana si mnataka haki sawa 50/50Sitakubali napenda uhai wangu,Wanawake tunaweza kubali kuwa wake zaidi ya mmoja ila nyinyi labla mkufe mzaliwe upya π¬
Hebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.kama kawa na kila kheri ile ya vodacom naona maji marefu sijakutonyaaa
Uko hospitali gani Dodoma au ile ya Tanga?
Vodacom makao makuu maisha yamelala kibongo kibongooo pesa ipo π π π πHebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.
Kuna mtu niliwahi kaa nae yeye aliwahi kuwa Voda makao makuu, alisema kuna mtonyoo balaa.