Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,857
Wageni wanaruhusiwa kula mpaka sufuria ibaki nyeupe!!!!Mhhh, Kama ni hivyo🙄, Bora usikari ishe kwako. Maana tutagombana😂😂😂
Hapana...kwanini???SI hiyo unayo tumia??
Inasubiri yako 🙂Ya sasa hivi iko wapi?
Endelea kunipa moyo nisikate tamaa! 🙈🙈ila bado una ka chick... bado hujamilika kuwa chicken 😅😅
Napenda Nikiwa ugenini, mtu aniambie jisikie Kama uko nyumbani😂😁.Wageni wanaruhusiwa kula mpaka sufuria ibaki nyeupe!!!!
🤣🤣🤣Leo ndyo Leo
Mvua kama kawaidaنستينينينينيينوينينويرررطرريننثنينطورذرذببمبميويووطوطووكثمىطىن
Hivi UTO mnalala mpka sshv mna raha gani![]()
Shida unga hautoshi🙄😂😂Depal Umeshakula??View attachment 2644682
Kipindi una Anza tumia jf, nilikuwa na different ya Miaka 8 😂😂Hapana...kwanini???
Nimejaribu nimeshindwa!!🫣🫣🫣punguza kula basi.. mwili ubaki mdogo mdogo..🙃🙃
As it should be!!! Mi sipendi kupakulia mtu chakula...ajiwekee mwenye kadri anavyotaka.Napenda Nikiwa ugenini, mtu aniambie jisikie Kama uko nyumbani😂😁.
🙃🙃🙃... funga hata mbili kavuNimejaribu nimeshindwa!!🫣🫣🫣
Mi nimejiunga tangu nikiwa teenager....hata 18 nilikua bado sana kufika!Kipindi una Anza tumia jf, nilikuwa na different ya Miaka 8 😂😂
Kila siku nasema kesho nafunga, alafu kesho yenyewe haifiki!😶🌫️😶🌫️😶🌫️🙃🙃🙃... funga hata mbili kavu
tukatembeeee porini ndaaani kabisaaa.. tukae huko siku mbili tu mie na wewe tufungeee 🙃🙃🙃Kila siku nasema kesho nafunga, alafu kesho yenyewe haifiki!😶🌫️😶🌫️😶🌫️
Hiyo itapendeza!!!!!😇😇😁tukatembeeee porini ndaaani kabisaaa.. tukae huko siku mbili tu mie na wewe tufungeee 🙃🙃🙃View attachment 2644706View attachment 2644704View attachment 2644703
We msosi ni hobby pendwa😍😍punguza kula basi.. mwili ubaki mdogo mdogo..🙃🙃
😊😊😊 nikupitie alfajiri au unanipitia hapa usiku tuondokee hapa hapaHiyo itapendeza!!!!!😇😇😁
Aisee, usije niitia mapolisi kisa Michelle wa buku 3 😂😂. Maana nabugia kilo mwenyewe😂🤗As it should be!!! Mi sipendi kupakulia mtu chakula...ajiwekee mwenye kadri anavyotaka.