Selfika na JF: Snap it. Show it

Shangazeeeeeeeeee Antonnia 😊😊😊View attachment 2642832

🎢 Oh my baby, hope you never leave me
Leave me when I need you
Leave me when I need you the most
Am craving, yes you know am craving
Craving for you body
Yes you know I want you for long
You the somebody son
Eh sister Tiwa gom find me
iiiih
Na wewe ndo unanifaa aah wengi wananitamanii ooohh 🎢
 
Yeahh, ila nimeishia episode 4, sina muda wakuangalia tena series mpaka next month huko.😡😡😡

Utaipenda, japo story sio yakutiiiiisha kivile.πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈ
Oh Lady boss umetingwa na kazi za klayanti.

😁😁 huu unakaribia muda wa Jua kali, nitaianza wkend.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kumbe una imanyaaa
 
Sana aisee naimanya hii ngoma iko kwa playslist yangu, mtoto Zuhura kalalamika sana humo. Imagine mrembo anakuambia maneno kama yale mwanawane πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Na wewe ndo unanifaa aah wengi wananitamanii ooohh 😍
alafu awe akuombi hela , yani anakupenda ile natural tu, alafu pisi kali na kitandani inayaweza unafikiri utaanzia wapi kucheat πŸ˜…πŸ˜…
 
alafu awe akuombi hela , yani anakipenda ila natural tu, alafu pisi kali na kitandani inayaweza unafikiri utaanzia wapi kucheat πŸ˜…πŸ˜…
Hahaa lazima unawiri aisee utaona dunia yote yako, ukitoka mishe haina tena kupitia liquor stores moja kwa moja nyumbani kula mema ya nchi kama Jux yaani;

🎢Sasa mapema
Narudi nyumbani
Vitu navikuta mezani
Sili sili vya mtaani mwenzenu (kwa sasa)🎢
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Kuna kipindi nilikuwa naishi na pisi moja matataa sanaa . kijiweni nilipoteaga miaka miwili.. mie ndani na kwenye harakati.. sikuwa ku cheat kuna rahaaa ya kuwa na kitu cha maana
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Kuna kipindi nilikuwa naishi na pisi moja matataa sanaa . kijiweni nilipoteaga miaka miwili.. mie ndani na kwenye harakati.. sikuwa ku cheat kuna rahaaa ya kuwa na kitu cha maana
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ uliinjoi sana hiyo pisi, yaani automatic unakuta una hamu tu ya kurudi home coz mrembo hana gubu lazima wana wakusahau kwa kijiwe. Sijui kwa nini mahusiano matamu kama hayo huwa hayadumu
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ uliinjoi sana hiyo pisi, yaani automatic unakuta una hamu tu ya kurudi home coz mrembo hana gubu lazima wana wakusahau kwa kijiwe. Sijui kwa nini mahusiano matamu kama hayo huwa hayadumu
πŸ˜…πŸ˜… banaa shetani ana nongwaa sana . yani unafanya harakari unawaza home tu.. ile umemaliza shwaa home.. unakuta mtoto nae karudi anakuvua shati, viatu suruwali anakupigia story kuondoa uchovu.. unaandaliwa chakula upendacho then unaogaaa unamkuta kitandani na kakanga kepesiii.. .. unaanzia wapi kuwa ku cheat mzee.. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mtoto mwenye mnono kishenzi
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kwa mwendo huo huwezi kufikiria kucheat unakuta siku za weekend mtoto anakufanyia massage ukimaliza kula msosi mtamu unamla na mpishi mwenyewe

🎢 Ya nini, kuwa waruwaru nikuumize uende
Kwanini, niwe wa kuchovyachovya nikauingia mkenge
Niamini, nawe usije pata bichwa ukaota mapembe
Sababu wewe mzuri umepitiliza
Penzi lako mi linaniliza 🎢
 
Unakuta pisi kama hii ndo inakufanyia hizo mambo πŸ˜‹

 
Nikisemwa nasusa 🀣🀣
Utajirudi tu!!🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Usinikumbushe ambavyo tuliwahi kususiana for 2 weeks.πŸ«£πŸ«£πŸ™ˆ

Aliyesema boss hanuniwi apigwe mawe!!
 
Oh Lady boss umetingwa na kazi za klayanti.

😁😁 huu unakaribia muda wa Jua kali, nitaianza wkend.
Mabosss ladies ni wale nilikua nawaibia notes mchana. Mi mpaka niache kuvaa sleepers kwenye meetings ndo ntaanza kuchukuliwa serious!πŸ™ˆπŸ˜πŸ˜

Enjoy mwaya, ngoja mi nijiibie kausingizi kidogo kabla β€Šklayanti hajaniteka tena!😡😡
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

You've made my day with that flawless explanation of our political ideologyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚....buuuuut, I wanted to know yours!
I'm a Puritan! A hardcore Medieval Puritan.......😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…