Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,353
- 96,634
She no longer give a hell about me😐🤨😑kijana huyo mtunzeer yale yote uliyofundishwa unyagonii mpeee umnyooshe hata nje asiangalie tenaa mdogo wangu 😅😅
She no longer give a hell about me😐🤨😑kijana huyo mtunzeer yale yote uliyofundishwa unyagonii mpeee umnyooshe hata nje asiangalie tenaa mdogo wangu 😅😅
Mashaka yapi🙄🙄hatukasiriki bali tuna mashaka 😂
hebu badilisha mada kila saa mapenzi 😂Mashaka yapi🙄🙄
Kimekubali... Au ukute mambo ya kuchomeka vibaya Cable 😊😊😊😊!Zima kishikwambi, alafu chomeka charger yake
Basi kitakuwa imekufa port ya simu, Hebu jaribu chaji nyingine. Ikigoma. nenda kwa fundi Ni 5000 au kajichekeshe elfu 3😂😂Mie nilikua mizungukoni ni Kwamba Wametumia chaja ya simu yangu kuchajia kishwambi kuja kuweka chaja yake imegoma kupeleka hata hio chaja ya simu pia ilikua haipeleki!!
Halafu bado unaniita chizi🙄🙄😂😂Kimekubali... Au ukute mambo ya kuchomeka vibaya Cable 😊😊😊😊!
Kweli Ushamba mzigo😁😁
Mimi niko poa jana thijakuona hapa kabisaUdugu kithembe niaje 🤣
fanya namnaaa unilipe sasaaa shangazi yanguu mzuriio weyeeee hakuna mfaaano yani 😊😊😊Kimekubali... Au ukute mambo ya kuchomeka vibaya Cable 😊😊😊😊!
Kweli Ushamba mzigo😁😁
Dada Deborah wa form 4 liva, huyo dogo kakataliwa na ananionea wivu kinyama
Nijichekeshe ili agundue nini Mfyuuu!! Ningeenda kumpa mtu aniletee kikiwa kizima usintanieeee nsingetoa hata kumi yangu😅!!Basi kitakuwa imekufa port ya simu, Hebu jaribu chaji nyingine. Ikigoma. nenda kwa fundi Ni 5000 au kajichekeshe elfu 3😂😂
Oh my bby hope u never live live me ……. Naupenda uhuu wimboShangazeeeeeeeeee Antonnia 😊😊😊
Wanawake ni majangiri🙄😂😂Nijichekeshe ili agundue nini Mfyuuu!! Ningeenda kumpa mtu aniletee kikiwa kizima usintanieeee nsingetoa hata kumi yangu😅!!
dedication ya shangazi wangu mzurii 😊😊Oh my bby hope u never live live me ……. Naupenda uhuu wimbo
Nasemaaaajeeeeee nisingetoa hata Kuni yanguu ningempa aniletee kikiwa kizima angefanyeje sio Kazi yanguu 😊!Wanawake ni majangiri🙄😂😂
Niko magufuli terminal toka Jana!Nijichekeshe ili agundue nini Mfyuuu!! Ningeenda kumpa mtu aniletee kikiwa kizima usintanieeee nsingetoa hata kumi yangu😅!!