Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie nilikua mizungukoni ni Kwamba Wametumia chaja ya simu yangu kuchajia kishwambi kuja kuweka chaja yake imegoma kupeleka hata hio chaja ya simu pia ilikua haipeleki!!
Basi kitakuwa imekufa port ya simu, Hebu jaribu chaji nyingine. Ikigoma. nenda kwa fundi Ni 5000 au kajichekeshe elfu 3😂😂
 
Shangazeeeeeeeeee Antonnia 😊😊😊
Screenshot_20230601-194341.png
 
Back
Top Bottom