Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!
kishwakwambi chenyewe kinawaka au kimezima ? isije kuwa walilazimisha kuingiza charge wakaharibu port yake ya kuingizia umeme
 
Hapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!
Uliwapa simu yako??na chaji au. Walitumia chaja nyingine kuchajia simu yako??😂😂🤔
 
Hiyo Cha mtoto, Kuna ile kakabidhiwa mtoto amlee Baada ya kutoka jelaa😂😂, au ile ya sherehe ya Halloween😂😂
nitazitafuta niziangalie hizo
Napenda Bob hearts Abishola , umeion hii ni Romcom .

inaonyeshwa 115 sema ratiba yake haieleweki ..
 
😊😊😊😊 kwa shangaziiii wanguuu mzuriii kabisaaa Antonnia
Screenshot_20230601-192716.png
 
Back
Top Bottom