Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,331
- 96,606
Madea unaijuaa??, Ni commedy, drama ya kufa mtu😂😂Not my type aisee
John Wick hiyo naona imetrend sana .
natakiwa ni watch movie tamu ,
nikiangalia nasema awwwh .
Madea unaijuaa??, Ni commedy, drama ya kufa mtu😂😂Not my type aisee
John Wick hiyo naona imetrend sana .
natakiwa ni watch movie tamu ,
nikiangalia nasema awwwh .
Guess she don't wanna talk with me for now😑😐🤨😢, though bshe said yessKhakhakhaaaa.... yani za kutafsirii wengine uongo
How's she doing????
Mpali ni nzuri lakini kila siku visa wanawake wale .Yaani mfano home kwa mother na mzee, wait ni mieleka daily. Mother anapenda Mpali, huba, yalaiti na dogo kitimtim
Ohhh that cool, ki holiday flani hivi🤗😍kwani mkilala lazima ku sex 🫣🫣🫣
Kaangalie madea utacheka Sana😂Mpali ni nzuri lakini kila siku visa wanawake wale .
nimesoma sehemu watamdhulumu shamba lile , kuna mkewe atapanga njama .
Mie wazungu wameniharibu sana kichwa ..
Uwe unaangalia hata Comedy central unapanua mapafu
Kama hivi yaani 😊😊Ohhh that cool, ki holiday flani hivi🤗😍
Naijua eehMadea unaijuaa??, Ni commedy, drama ya kufa mtu😂😂
Hiyo Cha mtoto, Kuna ile kakabidhiwa mtoto amlee Baada ya kutoka jelaa😂😂, au ile ya sherehe ya Halloween😂😂Naijua eeh
kuna moja nimeona inaitwa Madea's Witness protection aisee ni nzuri sana ..
Tyler perry ni nouma
Hakiingizi charge tena ? au madogo wameharibu hiyo chargerWajuvi hivi kishwambi ukichajia chaja ya simu ya kawaida kinaharibika???
Madogo wamechajia chaja ya kimeo changu asee Saivi nikichajia chaja yake haipeleki wala kuonesha kama inaingiza chaji...nikifanyeje?? National Anthem Intelligent businessman na wengine!
Inaeza haribu kile kidude ambapo unachomekea chaja. Ila test USB nyingine kwanzaWajuvi hivi kishwambi ukichajia chaja ya simu ya kawaida kinaharibika???
Madogo wamechajia chaja ya kimeo changu asee Saivi nikichajia chaja yake haipeleki wala kuonesha kama inaingiza chaji...nikifanyeje?? National Anthem Intelligent businessman na wengine!
Hapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!Hakiingizi charge tena ? au madogo wameharibu hiyo charger
kishwakwambi chenyewe kinawaka au kimezima ? isije kuwa walilazimisha kuingiza charge wakaharibu port yake ya kuingizia umemeHapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!
Uliwapa simu yako??na chaji au. Walitumia chaja nyingine kuchajia simu yako??😂😂🤔Hapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!
nitazitafuta niziangalie hizoHiyo Cha mtoto, Kuna ile kakabidhiwa mtoto amlee Baada ya kutoka jelaa😂😂, au ile ya sherehe ya Halloween😂😂
napita pita tu mkuu jf leo imepoa😂 hakuna hot topics😂We mnafiki wa karne mshamba_hachekwi mbona una nifata fata🤔🤔. Au nimwite Gily akupasue😂😂