Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani mfano home kwa mother na mzee, wait ni mieleka daily. Mother anapenda Mpali, huba, yalaiti na dogo kitimtim
Mpali ni nzuri lakini kila siku visa wanawake wale .

nimesoma sehemu watamdhulumu shamba lile , kuna mkewe atapanga njama .

Mie wazungu wameniharibu sana kichwa ..

Uwe unaangalia hata Comedy central unapanua mapafu
 
Ohhh that cool, ki holiday flani hivi🤗😍
Kama hivi yaani 😊😊
images.jpeg
 
Hapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!
kishwakwambi chenyewe kinawaka au kimezima ? isije kuwa walilazimisha kuingiza charge wakaharibu port yake ya kuingizia umeme
 
Hapana chaja yake nilikua nayo mie sasa wao niliwapa wachezee magemu chaji ikaisha si wakachikua chaja ya simu yangu wakachajia kishwambi nimerudi ndo naweka chaja yake inagoma kupeleka!
Uliwapa simu yako??na chaji au. Walitumia chaja nyingine kuchajia simu yako??😂😂🤔
 
Hiyo Cha mtoto, Kuna ile kakabidhiwa mtoto amlee Baada ya kutoka jelaa😂😂, au ile ya sherehe ya Halloween😂😂
nitazitafuta niziangalie hizo
Napenda Bob hearts Abishola , umeion hii ni Romcom .

inaonyeshwa 115 sema ratiba yake haieleweki ..
 
Back
Top Bottom