National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Mie nilikua mizungukoni ni Kwamba Wametumia chaja ya simu yangu kuchajia kishwambi kuja kuweka chaja yake imegoma kupeleka hata hio chaja ya simu pia ilikua haipeleki!!Uliwapa simu yako??na chaji au. Walitumia chaja nyingine kuchajia simu yako??😂😂🤔
kijana huyo mtunzeer yale yote uliyofundishwa unyagonii mpeee umnyooshe hata nje asiangalie tenaa mdogo wangu 😅😅Ndo.huo unaimbwa tululuuu tutuluuuh
kishwakwmbi kinawaka ?Mie nilikua mizungukoni ni Kwamba Wametumia chaja ya simu yangu kuchajia kishwambi kuja kuweka chaja yake imegoma kupeleka hata hio chaja ya simu pia ilikua haipeleki!!
Unaona Sasa🤔🤔, Afu nikianzisha Uzi wa kumsifia Lovelovie. Wewe na Poor Brain mnakasirika😂😂napita pita tu mkuu jf leo imepoa😂 hakuna hot topics😂
Kinawaka ndio ila chaji haiingii!kishwakwmbi kinawaka ?
Kumbe anamuogopa Gily😅We mnafiki wa karne mshamba_hachekwi mbona una nifata fata🤔🤔. Au nimwite Gily akupasue😂😂
Mimi tena mkuu wakati mi ni moongoni mwa watu naofurahia uhusiano wako na huyo bintie..Unaona Sasa🤔🤔, Afu nikianzisha Uzi wa kumsifia Lovelovie. Wewe na Poor Brain mnakasirika😂😂
"Tululuu tululuuuh,"😊😊😁!!Ndo.huo unaimbwa tululuuu tutuluuuh
😄😄 muulizeYupo branch gani?😅
Aone lipensiIli uone nini?🤔
Zima kishikwambi, alafu chomeka charger yakeKinawaka ndio ila chaji haiingii!
😂😂😂 ukiwaenzi nakufikiriaNauliza haujatuma Sasa🤔🤔, au unataka niwaenzi manabii na mitume wa zamani. Walitembea kutoka misri Hadi Israeli😂😂
Ww nicheke ty
Mzee ushaanza safari?Ww nicheke ty
Si useme tu umeshatumia asilimia 75 za bando lakonapita pita tu mkuu jf leo imepoa😂 hakuna hot topics😂
hatukasiriki bali tuna mashaka 😂Unaona Sasa🤔🤔, Afu nikianzisha Uzi wa kumsifia Lovelovie. Wewe na Poor Brain mnakasirika😂😂
Ukinikalia kooni naharibu kazi mapema asubuhi 😂😂😄😄
Ntakusimamia kooni mpaka ufanye ili tu uachane na mimi. 🤣🤣