Dereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu Talalala
sumbai