Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nimpate wapi@cocastic hatak kunipa kijana mmoja
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227


Thubutruuuuuuuuuu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!!
 
๐ŸŽตDereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu Talalala๐ŸŽต
sumbai
 
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46642754, member: 663227


Thubutruuuuuuuuuu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!!
Tena anaonekana kakuvuruga sio kidogooooo sio kwa mi dedication hioii!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!!
Aah wapi mm ndo nyimbo zangu helasina nianze kumsikiliza nyimbo za masikitiko tena๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐ŸŽต๐ŸŽตBora ungekuwa mkanda wa DVD
Nyuma ningerudisha
Ulinifanya siambiliki sisikii
Yani ukaniviringisha
Nimeamini mpenz kunanamna
Yameungana na nyama
Hisia zanipeleka siwezi
Kumbumbuku zagandamana
Najifosi nisikate tamaa ya kupenda
Japo inaniuma kinachomiuma muda muda
Nilopoteza wee habari huna
Yaka yakanizidi nilipozama gwii gwii๐Ÿ’”
Limenyauka warid kwankumwagiwa asidi

Jamani mapenz yanauma ah ๐ŸŽต๐ŸŽต
@Antoniia mje mlie hapa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nyimboyenu hii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
One time Nakuja na kiporo changu cha wali ndondoo hapooo๐Ÿ˜‹!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ