Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Ulikuja ukala bata wapi na wapi?Ahahah mtoto haan adabu kabisa et kisa anakaa arusha wakat uko arusha wezie tunatinga kwenda kula bata na kurudi
Ww nani kakuambia natumia iphon 6 wakat natupia picha hapa ya simu yangu ulikuwa wapi?iPhone 6🤣
hiyo picha ya simu yako ulipoga na simu gan?Ww nani kakuambia natumia iphon 6 wakat natupia picha hapa ya simu yangu ulikuwa wapi?
🤣🤣🤣 unataka Jack aniunderrate sioKwakweli mimi aje tu aniue hata saivi ila Jack Palladino lazima story aipate
Wewe arusha nishatinga sana rose golden hotel pale wananijua vyema moshi uko redston wananijua vyemaUlikuja ukala bata wapi na wapi?
Usikute ulikuja ukawa tu Mbauda huko na Tengeru 😂😂
Gym hiyo....nimenyanyua vyuma vina uzito usiolingana 😆 ***jokingMkuu subiri kwanza.
Mkono wa kulia na kushoto hailingani unene. Ndio mambo ya kunyanyua vyuma??
Au ni pose la pic?
Tecno yakohiyo picha ya simu yako ulipoga na simu gan?
😂 siku ya msutoHawezi kujua!![]()
Tecno uliiona wapTecno yako
Ahhah si ndege ila njiwa sijala mda sana kwahiyo nimeinjoy sana sijala mafuta kabisaNjiwa ni jamii ya kuku![]()
KwenyeTecno uliiona wap
Nenda kachekiNaisubiri kwa hamu!![]()
🤣🤣🤣 mwambia ni 11 pro max GB 256Ww nani kakuambia natumia iphon 6 wakat natupia picha hapa ya simu yangu ulikuwa wapi?
Kwakweli mimi aje tu aniue hata saivi ila Jack Palladino lazima story aipate

Shika adabu we mtoto..Kwenye
Mkoba wako
Sasa udugu mbona unaelekea kupanickKwenye
Mkoba wako