Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Niliambiwaga gym za mtaani wanashindwa kubalance kg za vyuma 😂😂Upoje🤣
Shemeji acha tu yaan 😂😂Basi hiyo story ni balaa shem darling
![]()
Hapana hawezi, wewe ni starring kwenye movie🤣🤣🤣🤣🤣 unataka Jack aniunderrate sio
Asante mrembo wangu mimi nakupenda sana bby nakupenda nikuchumu mbele za watu mrembo🤣🤣🤣 mwambia ni 11 pro max GB 256
Haina crake wala mchubuko
siku ya msuto
Mniletee kingoma nimpee ili anisute vizuri

🤣🤣🤣🤣🤣🤣Niliambiwaga gym za mtaani wanashindwa kubalance kg za vyuma 😂😂
Matokea ndio kama yale
Ahahah nilisahau kwenye pochi yako ile ya pinki 😂Shika adabu we mtoto..
Uyo kuku manyoa tuna jua a wala usiingilieSasa udugu mbona unaelekea kupanick
Weee kuwa na adabu kwa wakubwa wako totooAsante mrembo wangu mimi nakupenda sana bby nakupenda nikuchumu mbele za watu mrembo
KiruuuuuuuWewe arusha nishatinga sana rose golden hotel pale wananijua vyema moshi uko redston wananijua vyema
Unanishushua?Uyo kuku manyoa tuna jua a wala usiingilie
Mabaunsa🤣🤣Kiruuuuuuu
Golden Rose!! 😂😂😂 heee si ungeenda hata Mount MerU Hotel jamani
Redstone wanakujua wahudumu au mabaunsa?
Shindwa pepoooAsante mrembo wangu mimi nakupenda sana bby nakupenda nikuchumu mbele za watu mrembo
Vibaya kumpenda jaman umeona mguu wake una dimpo la kutekenya mwanaumeWeee kuwa na adabu kwa wakubwa wako totoo
Wote haoKiruuuuuuu
Golden Rose!! 😂😂😂 heee si ungeenda hata Mount MerU Hotel jamani
Redstone wanakujua wahudumu au mabaunsa?
Jaman usinifanyie ivyo bby unitaki kisa natumia daldalaShindwa pepooo
Tafuta helaVibaya kumpenda jaman umeona mguu wake una dimpo la kutekenya mwanaume
Hapana mchumba mmbeya mwezangu rafiki yangu udugu wangu nipigie nikwambie Jack Palladino anataka kuoa una mjua anae muoa?Unanishushua?