Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
Ase naumwa mafua leo sina neno kabisa ngoja niponengoja aje mzee wa mavocal Mwachiluwi 😂
Ase naumwa mafua leo sina neno kabisa ngoja niponengoja aje mzee wa mavocal Mwachiluwi 😂
Nitakupigaaaa nikuzimishe 🤣🤣🤣Kuna hiyo mpya🤣🤣
Hata haisubiri conference call nitakwambia
Una mafua ya kuku au ya bata? Niliona umelishwa kapaja kamoja ka kukuAse naumwa mafua leo sina neno kabisa ngoja nipone
🤣🤣🤣🤣 Njoo unipigeNitakupigaaaa nikuzimishe 🤣🤣🤣
Lenie Hapo umepiga kelele sio kulia, mwambie @Depa akupe darasa.🥲🥴😔😮💨😢😭😭😭😭😭😭😭
Haya nipe maana ya jina langu
ahahah sio kuku njiwa yule na jioni hii tena nimeenda kusalimia kwingine nikalishwa ugali njiwa mzee nitarudi kibonge ujue kitambi nakiona kileeeUna mafua ya kuku au ya bata? Niliona umelishwa kapaja kamoja ka kuku
😂😂😂 naona unataka tuuliwe🤣🤣🤣🤣 Njoo unipige
ni njiwa yule 😂Una mafua ya kuku au ya bata? Niliona umelishwa kapaja kamoja ka kuku
Anataka kunilaza njaa huyoAnataka kuvunja ushemeji eeh![]()
Kumbeeni njiwa yule 😂
Umepelekee na mshamba_hachekwi ale na yeye. Sio daily ale mihogoAh
ahahah sio kuku njiwa yule na jioni hii tena nimeenda kusalimia kwingine nikalishwa ugali njiwa mzee nitarudi kibonge ujue kitambi nakiona kileee
Anataka kunilaza njaa huyo
Namwambia anicall anakataa
Nanmm boda wangu hapatikani
Gily kaniambia dogo anahara😂 sitaki kula njiwa pori😂Umepelekee na mshamba_hachekwi ale na yeye. Sio daily ale mihogo
Kanichamba jana uyo mtoto et mimi nakaa bush nalinga mjini na iphone kumbe mshamba asiwe uyo mtotoUmepelekee na mshamba_hachekwi ale na yeye. Sio daily ale mihogo
Huyo shem wako msumbufuuMpigie chap shem wangu [mention]Lenie [/mention]