Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ngoja Depal aone hili jibu lako.
Mwambie aseme ukweli alikuwa wapi asisingizie banπŸƒπŸƒ
Alipigwa ban ya miezi miwili ila kaachiwa huru baada ya siku 2
We huoni maajabu hayo?

Wacha tu niwe chawa wake kuanzia leo
 
Reactions: 511
πŸ˜‚πŸ˜‚ Ongea vizuri na watu wewe, hukuona Depal anasema jana alikuwa na kazi ya kulia na leo yuko free from banπŸ˜…. We kama uwezi kulia pole sana Lenie
Me navyojifanyaga nunda sasa 🀣🀣

Aki nianze kupractice kipaji kipya cha kulia sasa
 
Reactions: 511
Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji
Aisee hongereni yenu πŸ˜‚πŸ˜‚
sie kutwa kulalama hapa

nashukuru napokaaa usafiri husumbui kihivyo , labda siku umechoka na hujisikii kupanda daladala .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…