Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji
Aisee hongereni yenu πŸ˜‚πŸ˜‚
sie kutwa kulalama hapa

nashukuru napokaaa usafiri husumbui kihivyo , labda siku umechoka na hujisikii kupanda daladala .
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ inategemea unaenda wapi
Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna?
Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Ni gharama huku inategemea na distance pia .

haha ukikutana na foleni mnalo
inategemea na mnapoenda pia

kama ni distance fupi utakutana kwanzia 10 to 15 .
 
Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure πŸ˜‚
kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .

tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .

aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…