Wakati huo nilikuwa nina mwili mdogo dogo, kwahiyo madogo wakawa wanahisi kama wanaweza kunimudu vile kwahiyo ilifikia hatua wananiandikia na barua kwenye madaftari yaoHahaa wewe jamaa una sifa ya kujizuia aisee mi ningekuwa naozea jela saivi. Maana sio kwa mitego ile
Hahahaha, utegueView attachment 2640165
Mwanasheria wangu anasema huu ni mtego π€ͺ
Amejua Babu yake sina meno ya kuvunja mifupa ndiyo anajaribu kunipa ofa πHahahaha, utegue
Li zuriIla jana [emoji23][emoji1787] utadhani tulikuwa Ulaya
Me niko safi, niliwamiss [emoji7]
Ashukuriwe mod aliyeniachia
ππ inategemea na gariNyuma unakuwa free sana
unacheka huko nyuma and do all sort of crazy stuffs ππ .
mbele hapana aisee sipapendi kabisa .
sie wenye aibu ndo kabisa , iwe safari fupi labda .
Mwanzo nilikuwaVile visketi wanavaa wanafunzi wa Sauzi hivi kweli ticha kutoka bongo anaweza kutoboa daaah! [emoji28]
Tutafute tu connection, kumbe maisha sio magumu hivi humuππππ Naoma unasaga kunguni
Form six ya mchongoIla Vitoto vina mitego sana, wakati nimemaliza Form 6 nasubiri kwenda chuo nilikuwa napiga Tempo, yaani vitoto vilikuwa vinanipa majaribu sana.
Ukiwa na roho nyepesi, jela inakuhusu
Maisha ni kama kioo, ukicheka kinacheka, ukinuna kinanuna. Unatakiwa ucheze na fursaπTutafute tu connection, kumbe maisha sio magumu hivi humuπ
Ila weeeeee π€£π€£π€£Nitakuharibu π€£π€£
Clutch ndio nini banaπ€£π€£Unakaa mbele na ukiulizwa clutch iko wapi hujui
Hahaa unarudi lini kwaniNikiwa mikoani ndio unaaanzisha safari why lakini
NakaziaaaaMaisha ni kama kioo, ukicheka kinacheka, ukinuna kinanuna. Unatakiwa ucheze na fursaπ
πππ Ngoja Depal aone hili jibu lako.Nakaziaaaa
Ni kuwaganda tu wenye connection zao mjini hapa
Hahahaha.............sisi tuliosoma enzi ya Mwalimu, tumekuwa tunatanguliza Uzalendo kwenye kila jambo, najua ungekuwa wewe lazima ungewaharibu mabinti zetu π€ͺForm six ya mchongo
Eti una miaka 84
Zee la mchongo
Una balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanzo nilikuwa
Napata shida sana[emoji1787]
Na hivi ni msimu wa baridi
eeh una uzoefu na magariππ inategemea na gari
Vicruza vya ofisini sikaagi nyuma
Vx ukikaa nyuma kule utaumia kama dereva yuko rough safari ndefu.
Indrive sikai mbele hata kdg πππππ
Ilitakiwa ule ya mwaka kabisa π connection aliyosea Lenie imekuokoa. Usifute hiyo nambaTulia πππView attachment 2640193
Kiasi.. lift za hapa na pale.eeh una uzoefu na magari
Indrive magari yao yakoje kwani ??
si hizi za mjapani au ??