Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbwa yuleeee mbna atakomaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanamuambia majizzo kesho huko EFM jogging, aweke wazi mshahara wa kikatuni, maana ana dharau sana watuu.

Watu wako serious jomoneeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ninini hiki kinachotrendi huko mjini Twitter???

Na kumkaanga kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shoss akee Hivi Twitter ndio ipo Huko Daslam ama??!🤠🤠😁!

Sinaga Aa wala bee nahivi vitu walai hebu nipeni AB C kwanzaa !😊
 
Mmxxxxxieeewwww
Mchawii si lazima arogeee[emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89]!

Leo ni leo afe kipa afe bekii [emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji123][emoji123]

Nitokee hapa
Sisi kama waarabu tunawaambia UTO kushinda Labda ashinde njaa

USM ALGER timu ya watanashati na warembo [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Nipoo kipenzee huku mikaratasi huku maandalizi ya rekezzooo basi hekaheka tupuu😊!

Wiki nzima hii sijakuona humu walai ukute coca ashakupatia kitruuu kimya kimya mnaenjoy tyuu maisha hukooo😁😁😂😂!

Mkipata wa akiba msinisahau dadaenu hapaa🙇🤠!
😀wapi ndugu@cocastic kaninyima huwez amini hajanipa hata mmoja
Hekaheka nyingi tu dear hii wiki Bora imeisha
 
Screenshot_20230528_071942_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom