Selfika na JF: Snap it. Show it

nakukubali kamanda

Kikatuni kadandia mtumbwi wa vibwengo daadeki. Herode kamvua nguo, kikatuni kila akitweet wadau wanamwambia apost vyeti na benki ya statement
anaingia mitini
yaan niko winja winja huko hatareee, kuna jamaa km wa 3 washanijia DM wananiuliza "wee sio cocastic wa JF mbna writting inafanana" nawakanaa kweupeeee hata JF siijui ndo nn kwani. Uwiiiiiih

Dengee analo hili ana dharau sanaa yule mbwaaa. Khaaaah.
 
Ahhahaahh kazi ipo naomba nikufollow twtr
 
Utakuwa ndo wewe si bure 🤣🤣🤣

Hizi mambo za kujimwambafai mitandaoni sio nzuri ndo yaliyomwaibisha denge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…