mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,303
- 72,051
inaleta liver cancerKumbe kama Sungura ..
prostate cancer
ina macalories kwahiyo na vitambi pia
inaleta liver cancerKumbe kama Sungura ..
Nikukute pale kijiweni na Ice Coffee mezani!!☺️
ukweli usemwe 😂Dogo mbona unasaga kunguni sana🤣 hiyo ni fanta kasoro rangi tu
mpigie simu sijisikii kujielezaMwambie huyo masai akuruhusu
TamuuuT-bone kama T-bone!!!🤤🤤
siko shule niko chuo jamani😂Unamaliza shule lini vile?
hapo hapo utanikuta 😊Nikukute pale kijiweni na Ice Coffee mezani!!☺️
ukiwa unajilipua lazima ujue what you might lose😂Tafuta hela dogo, umeanza lini kuwa mshauri😅
duh mbaya sana hiyoinaleta liver cancer
prostate cancer
ina macalories kwahiyo na vitambi pia
Peterrabbit atakuambia 'we only live once' 😂duh mbaya sana hiyo
hauku zifry? 😂😂Depal njoo uone, nimezidisha mbwembwe potato wedges zimegeuka cousin wa mash! 🙈🙈🙈View attachment 2635938
haha njoo unichukue nikutane na german Shepherd hapo 😂😂Poa, nimemwambia, sogea tu
😂😂😂😂😂 muone
una hela we jamaa 😂 hiyo naiskiaga tu ni ghaliBelvedere Vodka?
ukipata prostate cancer uanze kupigwa vidole na madokta ndo utaelewa somo😂Unja mifupa meno ingalipo, no body stay alive forever bro.
Aisee hapana , we should stay health for us to live a better life .Peterrabbit atakuambia 'we only live once' 😂
Nilitaka ziwe spicy kidogo nikazipasha kidogo na maji, garlic & black pepper. Nikajisahau kidogo zikalainika sana so I had to improvise!🙃🙃hauku zifry? 😂😂
Muhimu zilike.
Pishi litarudiwa wakati mwingine
😂😂 kaongezee udambwi dambwiVits vipi huitaki, ipo mamba F hapa
hahaa hebu tumuone kwa picha 😂😂Huyo anafunguliwa saa 6 masai akilala, nikifungua sasa hivi atamla huyu masai wangu😅