Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
lazima nishtuke najua ni kimbembe kimetokea mahali 😂Kilichokushtua? 🤣🤣🤣 kuna mtu alikuwa ananisumbua namna ya kuondoa
Watu wametoana damu🤣🤣🤣lazima nishtuke najua ni kimbembe kimetokea mahali 😂
kuna hii bia moja inaitwa banana ni 500 na ukinywa unatetemeka 3 days mfululizoKweli kabisa, mtu unapoteza 81 usd kwa chupa moja wakati sungura gin ni 1000
Ndiyo, niliuonaga nyumbani kwa kina mshambaUmeukumbuka
Ukipigwa sipo 😂
Mmea
Marry jane.

endelea kujitetea😂 enewei, naonaga wanachukua kijiko wanaweka kwenye freezer afu wanakandia.... wengine wanachukua barafuWatu wametoana damu🤣🤣🤣
ni hatari kuna mbibi alikunywaga nyingi akafa😂Hiyo nisaidie tu mkuu, kwa hiyo unakunya ukiwa ndani ya blanket?? 😂
Unawaonaga wapi?endelea kujitetea😂 enewei, naonaga wanachukua kijiko wanaweka kwenye freezer afu wanakandia.... wengine wanachukua barafu
kuna mashine inaitwa spyritus 96% abv 😂Acha nipige Grey Goose Vodka zangu tu, hiyo ya kutetemeka hapana
dah, sijitetei ushankamata 😂Unawaonaga wapi?
😂😂 nishaelewadah, sijitetei ushankamata 😂
Kanaitwaje?Hiyo avatar yako inanikumbusha ka movie flan
Kuna ingine inaitwa Bel AirTrue lie
umeshalewa bro waambie wakushikie simu 😂mshamba_hachekwi mwambie Depal watoto wamelala atupie pic basi tushushie hii grey goose Vodka.
umeshalewa bro waambie wakushikie simu 😂
😂😂 kwa mbaliiiiiYap. Kumbe na wewe ni mnoma kabisa😂
Kwa mbali uijue hiyo movie, ungetaja jumong sawa. 🤣 We ni pro mwenzangu😂😂 kwa mbaliiiii