Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimemkumbuka yule dogo wa siku ile
I wish kangekuwa kadogo kangu.

Msalimie sana,
Huyo nikikutana naye kama nilitembea na marashi,namzawadia bure.
mkaka ananukiaa pambeee huyuu, nimemuuliza anatumia product ipi, kakataa kunitajia ila kasema atanijia na pafyumu enyewee nione live.

Woiiiiiiih kasema bei imechangamka kdogo.
Kesho ntamsalimia maana tumeachana sio mda, yeye karudi zake home.
 
It's really sad, ila ndio jamii tunayoitengeneza sisi wenyewe kwahiyo tuendelee kufurahia matokeo yake I guess! Ngoja niendelee kumfundisha dogo kuepuka "marafiki" wanaopenda kwa msimu baadae asipate shida.

Na wewe baki zako na bibi usije huku kwa vijana wenye stress na maajabu tele!!!πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈ
 
Wacha weee Cocah huyoooh
Kwa niaba ya wapenda perfume Usituangushe sasa😁
 
🀣🀣🀣

Nimepokea kwa niaba πŸ†πŸ™‚
 
Hahaha.......................ukipiga mahesabu wewe mwenyewe bado hujajenga, kwa kweli ni maumivu πŸ™†

Hiyo kuchanganya Damu muhimu sana, akija kukuzalia kabinti hivi karembo kama Mama yake inakuwa poa sana, kule Kijijini kwetu huyo binti unakuja kumposa kwa ng'ombe 70 au 100πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Wacha weee Cocah huyoooh
Kwa niaba ya wapenda perfume Usituangushe sasa
dada mbna nusu nianze kujilipuaaa?? Kwanza nkaamua kumkimbia kusudi ili mambo yasiwe mengi.

Maana kuna ka kitu kwa nafsi kalikua kanashawishi niseme nae visivyohusikaaa, Akili ikastukaa nkajiepushaaaa.

yuuu knoww!!!
 
Tulia,atakuanza mwenyewe akishaleta live perfume.
 
wanatutesa sana kisaikolojia πŸ˜…πŸ˜… hayo mengine ni matusi wanatutukana
 
Kwa kweli Mkuu, ila inafanya kuwe na ugumu kuweza kujua napendwa kweli au amependa hizi mia 2 mbili zangu πŸ™Œ

Vijana wamejaa stress za kufa mtu na kwa huu umri wangu wa Uzee presha haichelewi kupanda.

Useme kwa Vijana tunachomisi ni utundu wao tu, kuna mabinti utasema walipata 'A' somo la Biology vile wanajua kucheza na mwili wako.

Isingekuwa Mwenyekiti wa Kijiji kunikatalia kuwa shahidi ilibaki kidogo tu nimpe yule Binti shamba langu la ekari 30 liwe lake πŸ€ͺπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Unajiuliza mbona huyu Kaka hajaoa hadi umri huu, kumbe mwenzenu alikosa hela hivyo hana budi kubaki single again kama Harmonize πŸ˜…πŸƒπŸƒπŸƒ
Sema vijana wengi kinachowacost ni kushindwa kujiamini na kupenda pisi kali zenye gharama aka wadada wa mjini. Hapo lazima waisome namba
 
Ahahhahaha babu kwani nibi akutoshi
 
Sema vijana wengi kinachowacost ni kushindwa kujiamini na kupenda pisi kali zenye gharama aka wadada wa mjini. Hapo lazima waisome namba
Hahaha................hiyo kujiamini ilikuwa Enzi ya Zali la Mentali, siku hizi kupata salamu ya Mwanamke mzuri lazima unukie vizuri na uning'inize funguo za baiskeli πŸ€ͺ

Ukikutana na sisi Wakulima tunanukia jasho tu la shambani hata confidence ya shake hands 🀝 inapotea πŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…