Tuna offer leo, ukiweka full tankLenie ππβ½οΈ View attachment 2631142
Huyo atakua sio mzee Walai mzee hawako hivo buana!! πItabidi ubonge na babuu Grahams akuunganishie kwa mzee mwenzie π€ π€ Au kama yee anaweza kukufanyia wepesi si nilisikia wazee wa zamani walioa wake wengi π€ π€ π€ ππ!Si ndo hapo na wazee wenzao hawatutaki vilevileπ
Pole aisee ,Sisi wakulima tunapunjwa tu, wenye bei wapishiπ€£
Kwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.ah wap mafataki wengi ni wazee
Mboga 7 π , naona boom bado linapumua
Halifurahishi, ila mkulima lake jembe.Pole aisee ,
soko halifurahishi
innocent till proven guiltyπ mnapita kimyakimyaKwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.
Waulize Wazee wenzangu akina Mzee Mwinyi, we are so innocent π€
Mwinyi huyo kwemaπ€£π€£Kwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.
Waulize Wazee wenzangu akina Mzee Mwinyi, we are so innocent π€
Wanaburuza balaa πππinnocent till proven guiltyπ mnapita kimyakimya
mbona buku tu hiyo rafki yangu πMboga 7 π , naona boom bado linapumua
bonge moja la bahati aisee πKuna Mangi mmoja ali drop out na lile boom akalifanya mtaji mara ya mwisho naona naye maeneo ya Sinza kijiweni. Tayari ana nyumba, Bar , Bodaboda mbili
Hahaha...............Kuwika ni mara moja ikizidi sana mara 3 kama Jogoo wa Petro tu πππah wapi babu , umedanganya anawikaje mara moja kwa mwaka .
wazee nyie ndo pisi kali zinawapenda hamna mambo mengi .
kazi kushusha vioo tu kuita vibinti....Wanaburuza balaa πππ
Ndiyo rika langu lile, umetuona tusivyo na mambo mengi πMwinyi huyo kwemaπ€£π€£
Na mapengo Yaoπ€£π€£π€£ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaidππkazi kushusha vioo tu kuita vibinti....
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimi
Lakini usije ukaiga utapotea mazima. Wachaga wana upepo wa Biasharabonge moja la bahati aisee π
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa πππpaleeeππ!Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu π€ͺ
Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye πππππ