Kuna Mangi mmoja ali drop out na lile boom akalifanya mtaji mara ya mwisho naona naye maeneo ya Sinza kijiweni. Tayari ana nyumba, Bar , Bodaboda mbili
Huyo atakua sio mzee Walai mzee hawako hivo buana!! 😁Itabidi ubonge na babuu Grahams akuunganishie kwa mzee mwenzie 🤠🤠 Au kama yee anaweza kukufanyia wepesi si nilisikia wazee wa zamani walioa wake wengi 🤠🤠🤠😂😂!
Huyo atakua sio mzee Walai mzee hawako hivo buana!! 😁Itabidi ubonge na babuu Grahams akuunganishie kwa mzee mwenzie buana!🤠🤠 Au kama yee anaweza kukufanyia wepesi si nilisikia wazee wa zamani walioa wake wengi 🤠🤠🤠😂😂!