Selfika na JF: Snap it. Show it

sasa ukitafuta hela haimaanishi kwamba utaipata, kwahiyo ubaki mpweke??
Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.

Kupata mwanamke asiye muhitaji wa fedha kwasasa, imekuwa vigumu kama kupata Bikra miaka hii
 
Niliwahi kupewa kibuti cha kushtukiza na mtoto wa aliyekuwa mpishi Ikulu ya Muingireza miaka ile ya Ujana.

Kutokea hapo nikajiapiza liwe jua au Mvua lazima niitafute hela popote ilipo.
khakhakhaaaa....!
 
khakhakhaaaa....!
Huamini eeh 😁

Bahati nzuri niliwahi kuonja mapishi yake kabla hajanipa Kibuti, vinginevyo Babu yenu ningekuwa nimepoteza maisha kwa stress 😩 πŸ˜ͺ πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee😁😁!

Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli 🀠!
 
Hela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Huamini eeh 😁

Bahati nzuri niliwahi kuonja mapishi yake kabla hajanipa Kibuti, vinginevyo Babu yenu ningekuwa nimepoteza maisha kwa stress 😩 πŸ˜ͺ πŸƒπŸƒπŸƒ
Kama ulionjaa Safii sanaa huo ndio uanaumee sasa!🀠!
 
Pesa Ni mtihani kwakweli Mungu atusaidie wanawake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…