Bikra wee yanini na umewowaa grampa naweeππ!Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.
Kupata mwanamke asiye muhitaji wa fedha kwasasa, imekuwa vigumu kama kupata Bikra miaka hii
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli π π π ... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice π π πHela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.
Hakika, na Wanawake ndiyo chanzo kikuu πndio maana suicide rate ya wanaume inapanda π
π π π πBikra wee yanini na umewowaa grampa naweeππ!
Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli π€ !
π π π ni kujisalimisha tu.. ndio pona yetu hata moyo unakuwa huruHakika, na Wanawake ndiyo chanzo kikuu π
Kama ulionjaa Safii sanaa huo ndio uanaumee sasa!π€ !Huamini eeh π
Bahati nzuri niliwahi kuonja mapishi yake kabla hajanipa Kibuti, vinginevyo Babu yenu ningekuwa nimepoteza maisha kwa stress π© πͺ πππ
Tatizo hamtuliii granpa bora mrogwe tuππ€ !Hakika, na Wanawake ndiyo chanzo kikuu π
Pesa Ni mtihani kwakweli Mungu atusaidie wanawake!!Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli π π π ... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice π π π
Nilikuwa natolea mfano tu Mjukuu, sisi miaka yetu Bikra zilikuwa zakutosha.Bikra wee yanini na umewowaa grampa naweeππ!
Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli π€ !
babu nyie mna wa kuwapunguzia stress .Amen π
Muhimu tupate kibali cha kuishi miaka mingi, mkitu stress kwenye mahusiano yetu hatuchelewi kufa kwa Presha π
Zama zimebadilika sana babuu vibinti mnaviharibu mapema sanaaa unategemea bikra itoke wapi π€ !Nilikuwa natolea mfano tu Mjukuu, sisi miaka yetu Bikra zilikuwa zakutosha.
Siku ya kwanza unaenda kulala naye huyo Mkeo, basi utakuta Wakwe wameandaa kitambaa cheupe kitandani kwaajili ya kuangalia matokeo.
Wakikuta ipo, utasikia Vigelegele huko nje, na kama hukumaliza kulipia Ng'ombe za watu unatakiwa mapema kesho yake mpeleke ng'ombe za watu π€ππ
kila mtu anataka hela, ila sasa kuwe na ka balance sasa .. Tunajua mwanaume ni baba kwa mke wake.. ila sasa mna zidisha dose π π hadi mtu anapasukaPesa Ni mtihani kwakweli Mungu atusaidie wanawake!!
Ni kweli, muhimu huyo utakayejisalimisha kwake aweze kukuvumilia mapungufu yako.π π π ni kujisalimisha tu.. ndio pona yetu hata moyo unakuwa huru
Njoo bhana upumzikeugali wa shkamoo mtamuπ mtaani ni kufa na kupona
π€£Au chumvi kwenye chakula isipokuwepo , hakuna ladha tena .
wazeee mna maarifa sana
heshima kwenu baba zetu .
He!...jirani hujambo.
habariπ€£
sasa na nyie mnakwenda na pesa, akijitokeza mwenye dau kubwa zaidi mnapita nae πTatizo hamtuliii granpa bora mrogwe tuππ€ !
Salam jirani, hujambohabari