duh , unawekewa buyu , akiwa mnoko ndo kabisa .huku presentation ukikosa unapata nusu marks.... hakuna attendance
Kibuti cha kushtukizwa😂😂🤣🤣🤣!Mabinti wengi wa kileo, hawana uvumilivu kwenye maisha magumu. Unaweza kuamka ukajikuta umepewa kibuti hata hujajiandaa 🙌
Watoto wangu wa Kiume nimewaambia wajikite kutafuta hela, ukikosa hela kwa Dunia ya sasa una dharaurika kuanzia kwenye vikao vya familia hadi kwenye mahusiano ya Ndoa.
elimu yenyewe kubahatisha tu kazi hupati🚮duh , unawekewa buyu , akiwa mnoko ndo kabisa .
kuna mkaka ilibidi apost pone , alishindwa kupresent .
wanataka usisome , utoe vichwani
Safi sana babu kweli panapo wazee hakiharibiki kituuu👍!Kuwabadirisha Vijana wa kileo kuna hitaji muda.
Hata hivyo tunaendelea kuwaelimisha taratibu, ingawa nilianza na Vijana wangu tangu wakiwa na miaka 3 😁
useless kabisaelimu yenyewe kubahatisha tu kazi hupati🚮
kuna mda nawaza sana ni-dropout 😂useless kabisa
tunasoma basi tu , kuondoa ujinga
No , usiache soma tu upate cheti tukukaribishe kitaa huku tukisubiri serikali imalize kuajiri miaka ya nyuma .kuna mda nawaza sana ni-dropout 😂
Lazima utumie hela kwa mpenzi wako hasa kumtunza na mahitaji yake.sasa mkuu hela haziko guaranteed.... kutafta pesa kwa ajili ya wanawake ni utumwa
Amen 🙏Safi sana babu kweli panapo wazee hakiharibiki kituuu👍!
sasa ukitafuta hela haimaanishi kwamba utaipata, kwahiyo ubaki mpweke??Lazima utumie hela kwa mpenzi wako hasa kumtunza na mahitaji yake.
Kama utashindwa kumtimizia mahitaji yake, nina hakika kuna watu wataingia kati kukusaidia hayo majukumu hivyo kukufanya wewe kupoteza influence kwake
Kumbi kumbihahaa !Walimu wako na upendo Sana!
Pale hall 5 walikua wanapita wawili wawili Kama kumbi kumbi/ na wengi waliowana kabisa
naogopa sana kitaa... natamani niunganishe hadi masters niendelee kula ugali wa shkamoo😅No , usiache soma tu upate cheti tukukaribishe kitaa huku tukisubiri serikali imalize kuajiri miaka ya nyuma .
Igweeeeeeeeeeeeehh Wazeee igweeeeeeeeeeeeehh 🤭!Lazima utumie hela kwa mpenzi wako hasa kumtunza na mahitaji yake.
Kama utashindwa kumtimizia mahitaji yake, nina hakika kuna watu wataingia kati kukusaidia hayo majukumu hivyo kukufanya wewe kupoteza influence kwake
Okay vizuri , hutochoka ??naogopa sana kitaa... natamani niunganishe hadi masters niendelee kula ugali wa shkamoo😅
Sifa kuu ni kuzoomKumbe umeona aiseee 😆😆😆
nitachoka ndio niko diploma ujue 😅Okay vizuri , hutochoka ??
kiukweli nikiwaza dissertation sijui maana research ya undergraduate ilinifanya hadi nitamani kununua kwa watu .
upime plagiarism , isizidi 30% ,ujinga mwingi
Niliwahi kupewa kibuti cha kushtukiza na mtoto wa aliyekuwa mpishi Ikulu ya Muingireza miaka ile ya Ujana.Kibuti cha kushtukizwa😂😂🤣🤣🤣!
Weee babu ukiwa na pesa si ndo unaheshimikaa lakinii unashobokewa sanaa,, Unalala na mwanamke yeyote unaemtakaaaa akupende asikupende sio shida zakooo 😁😁 unabadilisha nyapu tani yakooo 😄😄😄😄
Shikamoo 💰💰💰💰💰😁!
Hela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.sasa mkuu hela haziko guaranteed.... kutafta pesa kwa ajili ya wanawake ni utumwa
serious ???nitachoka ndio niko diploma ujue 😅