Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo ukifika Thurs umejibana sana!Njoo tumuibie jirani yangu!!!!πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈπŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈ
Napenda sana speed kubwaa aiseee.. wifi naona kama najibana.. hili usiku nalimaliza kuna kazi nahisi nikianza fanya mzigo unakata πŸ˜…πŸ˜…
 
4mbs bado ndogo sana.. nishanya kazi sehemu mzigo ulikuwa unatembea hadi 500mbs ndio walinifanya kuchukia internet ya mwendo kobe..

Dr Lizzy fanya namnaaaView attachment 2630757
Ilikua fiber internet ???😳😳😳
Hii kwa matumizi yangu sio mbaya sana...

🀩🀩🀩🀩🀩🀩
Ngoja Mjep alete kale kafurushi πŸ’° tuone kama zinatosha!!!
 
Ilikua fiber internet ???😳😳😳
Hii kwa matumizi yangu sio mbaya sana...

🀩🀩🀩🀩🀩🀩
Ngoja Mjep alete kale kafurushi πŸ’° tuone kama zinatosha!!!
ilikuwa kwenye Data center kubwaa kabisaa Tanzania...

Mjep mwenyewe sidhani kama hata ana hela 🀣🀣🀣
 
Sasa si watuuzie hiyo na sisi tufaidi. πŸ₯΄πŸ₯΄

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Mjep anataka tudhani hana wakati anazo!!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… tafuta bedge kama hiyo kwenye avatar yangu mala moja moja uwe unapata fursa.. unashusha muvi kama kama kufumba na kufumbua jicho

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Mjep lete pesaa mzee
 
wa kuwadekea ninao jamani nisiseme uongo, na uzuri wananielewaaa.

Aseeeeeh poleee sanaaa, sasa huyo dereva hadi atake kukutoa sikio alikua haoni, lol.
Sinaga wa kumdekia kabisa , deka tu mama enjoy life ndo hili .

Nashukuru tu Mungu , nilikafich nilipoumia hadi nyumbani kuanza kulia . paliuma duh
thank you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…