Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Na kupiga pasi ndefu😂Hapo sijagusia mambo ya kichuo chuo na kunguni 🤣
Na kupiga pasi ndefu😂Hapo sijagusia mambo ya kichuo chuo na kunguni 🤣
Na kuwa chawaAtaishia kuita pisi kali shemeji na mashangazi
mshamba_hachekwi
Nakubali mtoto wa afsa TANAPA 😂😂ninajiweza eti msione napost tu mihogo humu 😅
naishi geto wee usinchukulie poa 😅Hapo sijagusia mambo ya kichuo chuo na kunguni 🤣
NakaziaNa kuwa chawa
Na kulala kwa maselaNa kupiga pasi ndefu😂
Mimi pia napenda heka heka!Easy come, easy go!!!
Raha inatokea huko huko kwenye kushughulika.🙂
Na Ile kupigwa exile😂😂Na kulala kwa masela
Basi tutaringishiana in 2 weeks!!😎Dr Lizzy ... huku napo nime pa miss .. ingawa ndani ya wiki mbili nitakuwa hukoView attachment 2630680
Ila atazitafuta bado ana mvua mbili na xmas mojaNakazia
Kushindia mihogo 🤣🤣Na kupiga pasi ndefu😂
Mzee wa dislike kesho ana testi chuoni😀😀Watoto wa mama wamelala, eti wanaogopa kesho ni j3. 😂
wee nakula vizuri😅 mbeya cheap sanaNa kupiga pasi ndefu😂
I like itBasi tutaringishiana in 2 weeks!!😎View attachment 2630685View attachment 2630686View attachment 2630687
Hana bandoMzee wa dislike kesho ana testi chuoni😀😀
😂😂 Nlishampisha msela na jimama lake saa saba usiku alafu ndio ilikua Mara yake ya Kwanza kuja kulala kwangu. Usela n ujingaNa Ile kupigwa exile😂😂
Ila wanaume mna mahangaiko sana
We usije kumchosha mdogo wangu.🙄🙄Mimi pia napenda heka heka!
Yani nisumbuliwe mpaka Basi
Hivo upele umempata mkunaji