Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Nijichanganye Mara ngapi?Jichanganye![]()
Nijichanganye Mara ngapi?Jichanganye![]()
🤣🤣🤣Siyo kweli,weka picha tuone.
haha Kama nakuona vile ulivokua unalia. pole sanaHuyu hata hanipendi nikampigia mdogowangu mmoja hiv akanibembeleza na kichambo alikuwa hajalala 😀😀
Ushapunguza hela ya boom kununulia vochanilifulia vocha😅 nimeguswa sana na kunimiss kwako....
😂😂Kwanza ungecheka kabla ya kunipa pole ninavokuwaga na sura ya masikitiko 😂😂haha Kama nakuona vile ulivokua unalia. pole sana
sipitagi maana najihurumia sanaMzee wa mamujee unapitaga huku kumbe 😀
Niwekee mkono tu nirudie 🤣
sina boom mi diplomaUshapunguza hela ya boom kununulia vocha
Mbona ipo mkuu? Mtoto ni mweupe hauna haja ya kujitazama kwenye kioo unaambiwa. Hizo lipsi akitabasamu Sasa!! Utamu utamu.daaah nimemiss, kaifuta aisee, sh1t


😂😂Wee usiniambieNijichanganye Mara ngapi?
Anakupoteza maboya tu. Ila uzuri haujifichi siku zote.kwaiyo Aaliyyah anafanya kunipoteza maboya
Kule nimekuta unasema Uzi hupend ni selfika nikuchambe kwanza alafu nirudie au nirudie ndo nikuchambe🤣🤣🤣🤣sipitagi maana najihurumia sana
ila naomba urudie pretty please 😞
mbona siioni ? iko wapi ?Mbona ipo mkuu?
Wapii😀😀Anakupoteza maboya tu. Ila uzuri haujifichi siku zote.
rudia alaf nichambeKule nimekuta unasema Uzi hupend ni selfika nikuchambe kwanza alafu nirudie au nirudie ndo nikuchambe🤣🤣🤣🤣
VidimposssssNilikumiss![]()
Siku nyingine vocha ikikaribia kukata niambie nikutumie totoosina boom mi diploma