Selfika na JF: Snap it. Show it

Eh wanajikuta sana , mie sina pesa ndo maana nakuuliza mara mbili shs ngapi mapema .

sio hao tu siku nimemuagiza boda aniletteee mzigo toka home hadi nilipo kapaona mbali kweli

kufika anaongeza elfu tano nilimwambia sikupi πŸ˜‚πŸ˜‚ labda akupe mzee na sio mimi πŸ˜‚πŸ˜‚ . nilikaza sana kwa yule boda
 
Wanaringa sana, dawa ukipata angle ya kumkazia, unakaza kweli
 
Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .

ni kama ukienda kariakoo wakiona tu unazunguka wanakufuata kukueleza baada ya hapo uwape ya soda
Washajua pia ni Wavivu wa kubargain, wengine wapenda short cut. Wanatuponza na sie ma hard core πŸ˜‚πŸ˜‚


Au stand. Pale stand kubwa uwa nachukia sana, muda mwingine mtu unatembea unaelekea dukani. Ila wapiga debe mabus washakufata.
Sawa wanatafuta ridhiki, lakini wengine unakuta hajakaa kimkao wa kusafiri ila kumzonga sasa πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…