π mbona wanawakomesha.
Kuna wakati huko nyuma nilikaa Sakina. Kuja Town ilikuwa buku 3 mara buku 4/5.
Ndio maana nimeizoea sana indrive.. mm sio mtoto wa fogo.
mshamba_hachekwi
Kuna wakati kutoka Sakina kuja Town na mashost tunatembea au indrive. Mara toyo π
Daladala nilikuwa napanda asbh tu sbb ya kuogopa baridi