Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yako
Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yako
As long as kuna presure kwenye protein basi sio tamu,, mfano kuna utofauti mkubwa wa ladha kwenye brisket na nyama ingine yeyote,, utamu wa protein yeyote ipikwe taratibu bhana