mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,083 May 20, 2023 #332,021 Lenie said: Ndiwoooooo Click to expand... na diet uskute unafanya.... wanawake mnajua kujitesa aisee π
Lenie said: Ndiwoooooo Click to expand... na diet uskute unafanya.... wanawake mnajua kujitesa aisee π
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 May 20, 2023 #332,022 mtu chake said: Jasho jingii sanaa Click to expand... Kwanza wakati wanakuchukua vipimo tu kwapa lote linaloa jasho π Wakati wa kusubiri majibu unaweza kuanguka kwa presha ππ
mtu chake said: Jasho jingii sanaa Click to expand... Kwanza wakati wanakuchukua vipimo tu kwapa lote linaloa jasho π Wakati wa kusubiri majibu unaweza kuanguka kwa presha ππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 May 20, 2023 #332,023 mshamba_hachekwi said: na diet uskute unafanya.... wanawake mnajua kujitesa aisee π Click to expand... Katika kitu hua sina mpango nacho ni diet Napenda kula vizuri, napenda sanaπ₯° So hua sijibani kwenye msosi
mshamba_hachekwi said: na diet uskute unafanya.... wanawake mnajua kujitesa aisee π Click to expand... Katika kitu hua sina mpango nacho ni diet Napenda kula vizuri, napenda sanaπ₯° So hua sijibani kwenye msosi
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,083 May 20, 2023 #332,024 Lenie said: Katika kitu hua sina mpango nacho ni diet Napenda kula vizuri, napenda sanaπ₯° So hua sijibani kwenye msosi Click to expand... wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice π na hawakondi
Lenie said: Katika kitu hua sina mpango nacho ni diet Napenda kula vizuri, napenda sanaπ₯° So hua sijibani kwenye msosi Click to expand... wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice π na hawakondi
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 May 20, 2023 #332,025 mshamba_hachekwi said: wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice π na hawakondi Click to expand... Wanajipa mateso tu ya bure wakati mbinguni tutapewa miili mipya
mshamba_hachekwi said: wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice π na hawakondi Click to expand... Wanajipa mateso tu ya bure wakati mbinguni tutapewa miili mipya
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,083 May 20, 2023 #332,026 Lenie said: Wanajipa mateso tu ya bure wakati mbinguni tutapewa miili mipya Click to expand... wanataka kupigiwa miluzi barabarani π
Lenie said: Wanajipa mateso tu ya bure wakati mbinguni tutapewa miili mipya Click to expand... wanataka kupigiwa miluzi barabarani π
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 20, 2023 #332,027 mshamba_hachekwi said: wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice π na hawakondi Click to expand... Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi ππ
mshamba_hachekwi said: wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice π na hawakondi Click to expand... Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi ππ
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,083 May 20, 2023 #332,028 Tinsley said: Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi ππ Click to expand... sasa mnafanya diet hampigi tizi mnategemea nini....
Tinsley said: Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi ππ Click to expand... sasa mnafanya diet hampigi tizi mnategemea nini....
Carleen JF-Expert Member Joined Nov 6, 2018 Posts 8,407 Reaction score 28,838 May 20, 2023 #332,029 Depal said: Usisahau picha ya ubwabwa rage in Carleen voice. Click to expand... mdogo wangu usinipe hamu ya ubwabwa rage asubuhi yote hii, I beg you oooh'...!π€
Depal said: Usisahau picha ya ubwabwa rage in Carleen voice. Click to expand... mdogo wangu usinipe hamu ya ubwabwa rage asubuhi yote hii, I beg you oooh'...!π€
Carleen JF-Expert Member Joined Nov 6, 2018 Posts 8,407 Reaction score 28,838 May 20, 2023 #332,030 mshamba_hachekwi said: Depal π π View attachment 2628386 Click to expand... Good Lord, Msinifanyie hivyo tafadhali..!!βΊοΈ
mshamba_hachekwi said: Depal π π View attachment 2628386 Click to expand... Good Lord, Msinifanyie hivyo tafadhali..!!βΊοΈ
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 20, 2023 #332,031 Carleen said: Good Lord, Msinifanyie hivyo tafadhali..!!βΊοΈ Click to expand... It is a weekend. Yachochee chap chap π€£
Carleen said: Good Lord, Msinifanyie hivyo tafadhali..!!βΊοΈ Click to expand... It is a weekend. Yachochee chap chap π€£
Carleen JF-Expert Member Joined Nov 6, 2018 Posts 8,407 Reaction score 28,838 May 20, 2023 #332,032 Depal said: Wow.. fav foodie Bebe njoo uone ubwabwa rage ππ Nimetamani totoo Click to expand... ππ Nimehisi kuvurugika akili hapa mpenzi wangu...!!π
Depal said: Wow.. fav foodie Bebe njoo uone ubwabwa rage ππ Nimetamani totoo Click to expand... ππ Nimehisi kuvurugika akili hapa mpenzi wangu...!!π
Carleen JF-Expert Member Joined Nov 6, 2018 Posts 8,407 Reaction score 28,838 May 20, 2023 #332,033 Depal said: It is a weekend. Yachochee chap chap π€£ Click to expand... ππ Huwezi amini hata sijiskii kufanya hekaheka Leo kabiiisa..!!
Depal said: It is a weekend. Yachochee chap chap π€£ Click to expand... ππ Huwezi amini hata sijiskii kufanya hekaheka Leo kabiiisa..!!
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 20, 2023 #332,034 Carleen said: mdogo wangu usinipe hamu ya ubwabwa rage asubuhi yote hii, I beg you oooh'...!π€ Click to expand... ππ me picha iliyopostiwa imenipa njaa
Carleen said: mdogo wangu usinipe hamu ya ubwabwa rage asubuhi yote hii, I beg you oooh'...!π€ Click to expand... ππ me picha iliyopostiwa imenipa njaa
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 20, 2023 #332,035 mshamba_hachekwi said: sasa mnafanya diet hampigi tizi mnategemea nini.... Click to expand... mie tizi yangu ni kwenda for a walk tu . mambo ya kujichosha siyawezi
mshamba_hachekwi said: sasa mnafanya diet hampigi tizi mnategemea nini.... Click to expand... mie tizi yangu ni kwenda for a walk tu . mambo ya kujichosha siyawezi
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 May 20, 2023 #332,036 Depal said: Kuna raha naipata nikinywa a cup of Nescafe gold coffee mixed with Nido. Tofauti na nikinywa li instant coffee ππ Chakorii Click to expand... πππ Karibu tupunguze uchovu Dee
Depal said: Kuna raha naipata nikinywa a cup of Nescafe gold coffee mixed with Nido. Tofauti na nikinywa li instant coffee ππ Chakorii Click to expand... πππ Karibu tupunguze uchovu Dee
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,315 Reaction score 72,083 May 20, 2023 #332,037 Tinsley said: mie tizi yangu ni kwenda for a walk tu . mambo ya kujichosha siyawezi Click to expand... tizi sio kitu cha kulazimishwaπ ukianza kuona kupanda ngazi ni shida utapiga tu....
Tinsley said: mie tizi yangu ni kwenda for a walk tu . mambo ya kujichosha siyawezi Click to expand... tizi sio kitu cha kulazimishwaπ ukianza kuona kupanda ngazi ni shida utapiga tu....
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 20, 2023 #332,038 mshamba_hachekwi said: tizi sio kitu cha kulazimishwaπ ukianza kuona kupanda ngazi ni shida utapiga tu.... Click to expand... Lifti hizi tunazipenda ukienda sehemu haina lifti , unalalamika weh ππππ . mazoezi tutayafanya kwa daladala
mshamba_hachekwi said: tizi sio kitu cha kulazimishwaπ ukianza kuona kupanda ngazi ni shida utapiga tu.... Click to expand... Lifti hizi tunazipenda ukienda sehemu haina lifti , unalalamika weh ππππ . mazoezi tutayafanya kwa daladala
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 20, 2023 #332,039 Chakorii said: πππ View attachment 2628435 Karibu tupunguze uchovu Dee Click to expand... Mambo niyapendayo π Usifanye nikaenda hapo nje,, wana vicappuccino murua.
Chakorii said: πππ View attachment 2628435 Karibu tupunguze uchovu Dee Click to expand... Mambo niyapendayo π Usifanye nikaenda hapo nje,, wana vicappuccino murua.
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 May 20, 2023 #332,040 Carleen said: ππ Huwezi amini hata sijiskii kufanya hekaheka Leo kabiiisa..!! Click to expand... Ubaya yanahitaji uchochezi. Na kwa electric pressure cooker yatahitaji kuongeza dk. Tabu sana
Carleen said: ππ Huwezi amini hata sijiskii kufanya hekaheka Leo kabiiisa..!! Click to expand... Ubaya yanahitaji uchochezi. Na kwa electric pressure cooker yatahitaji kuongeza dk. Tabu sana