ZABURI 37:25-27
Β²β΅ Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.
Β²βΆ Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.
Β²β· Jiepue na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.
HILO NDILO NENO LA MUNGU