Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijala πŸ˜‹πŸ˜‹
Nipomaliza kula zile korosho, nikaanza kama kusinzia. Nikahamia kitandani, nikasema nitaamka kuangalia jua kali.
Wapii ndio naamka sahivi πŸ˜‚
Basi uje kula mihogo pakikucha vizuri 😁

Ila kuna raha flani hivi unapata ukilala mapema!πŸ™‚
 
ZABURI 37:25-27

²⁡ Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.

²⁢ Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.

²⁷ Jiepue na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.

HILO NDILO NENO LA MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…