Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

binafsi toka nilipo otewa clinic nilipo enda na bibie, na sikuwahi kuuza mechi aisee na nimekuwa muoga hata kama nataka.. raha ya dk 1 .. inichomeshe mkeka hapana kwakwelii 😅😅
Hahaha..............huo utaratibu wa kwenda Kliniki na Mama anapokuwa Mjamzito inasaidia sana kupunguza maambukizi mapya.

Kuna watoto wadogo wanapata kutoka kwa Wazazi ambao wameshindwa kujua hali zao mapema 🙌
 
Kwakweli mambo yenu tunawaachia wenyewe 😂😂😂😁😁!
Wengine hawachagui kila shimo linalokatiza mbele yake yumooo hajiulizi mara mbili wakuwasaidia nyie ni mungu pekee😄🙌🙌🙌🙌🙌!
Ila kuna umri ukifika automatic unaacha mwenyewe.

Utaona Zote sawa 🙈🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom