Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
Tena aende anakimbiaRudi ofisini chap!
Maana saa 12 ndio hii
Tena aende anakimbiaRudi ofisini chap!
Wahivo mungu awarehemu tu no way😄😄😁!Ila kuna umri ukifika automatic unaacha mwenyewe.
Utaona Zote sawa 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Tena aende anakimbia
Maana saa 12 ndio hii
Mara ya kwanza nilitaka kukimbia majibu pale Hubert Kairuki, ilikuwa ujauzito wa first born wangu.huna lile wala hili kakipimo hako, huwezi kimbia wala nini 😅😅😅
Amen 🙏Wahivo mungu awarehemu tu no way😄😄😁!
Amefika umri gani Saivi???Na anavyopenda kunyonya yaani nikirudi jioni ataganda kifuani bila vitisho hatoki nina mpango wa kumuashisha kwa lazima 😬
Umri wetu Wazee 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️Umri upi huo....!!??🤓🤓🤓
Si wanasema ng'ombe azeeki maini au ??
HahahahaMara ya kwanza nilitaka kukimbia majibu pale Hubert Kairuki, ilikuwa ujauzito wa first born wangu.
Maisha ya Ujana na ukiwahi kushika hela inakuwa mtihani sana.
Anyways, Mungu ni mwema 🙏
Mwaka na miezi 3Amefika umri gani Saivi???
HongeraMwaka na miezi 3
Asante KipenziHongera
Hamna kitu ka hicho..??Umri wetu Wazee 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😅😅Hahahaha
Kuwa na imani kwa Wazee 😜🏃♂️🏃♂️Hamna kitu ka hicho..??
Lol bado bado kidogo kama hakuna sababu ya msingi usimuachishe mapema mi jr aliacha akiwa na mwaka na miezi 5 nilienda marking NECTA 3 weeks! Kurudi haaaa kwanza mwanzo alinikataaa kama hanijuii na kunyonya keshasahauuu!Mwaka na miezi 3
😋😋😋
Njoo unichukue, nishasign out🤗Chap chap zimebaki dk 15 tu![]()
Fanya hivyo shogaa, ili jim ikamilike 😂Nipo njiani naelekea Babati kukufatia raba 😂😂