Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,144
Kama Grahams mzee mi nipo pale ......π€π€π€π€π€π€Kuwa na imani kwa Wazee ππββοΈπββοΈ
Kama Grahams mzee mi nipo pale ......π€π€π€π€π€π€Kuwa na imani kwa Wazee ππββοΈπββοΈ
Hahaha.............tumekula chumvi nyingi πββοΈπββοΈπββKama Grahams mzee mi nipo pale ......π€π€π€π€π€π€
Jirani , upo vyedi
Sasa hivi ukisema umekula chumvi nyingi.... πππUnaelewaHahaha.............tumekula chumvi nyingi πββοΈπββοΈπββ
Hicho ni kisusio π
ile hata ukimbie utayapata tuuu majibu yako π π πMara ya kwanza nilitaka kukimbia majibu pale Hubert Kairuki, ilikuwa ujauzito wa first born wangu.
Maisha ya Ujana na ukiwahi kushika hela inakuwa mtihani sana.
Anyways, Mungu ni mwema π
Hahahaha................sio ile nyingine ni ile chumvi nyingine πSasa hivi ukisema umekula chumvi nyingi.... πππUnaelewa
Hahaha............ni kweli asee, nilizuga zuga naongea na simu lakini still bado wakasema wananisubiria ili tupewe majibu kwa pamoja πile hata ukimbie utayapata tuuu majibu yako π π π
Au tuseme umekula zote zote je π€π€π€π€πHahahaha................sio ile nyingine ni ile chumvi nyingine π
Zote hapana, ni ile nyingine ndiyo nimekula πAu tuseme umekula zote zote je π€π€π€π€π
Jirani, kila ijumaa lazima tutoe masterpieceJirani , upo vyedi
next time ukibake nikumbuke

Ana nyonya sana jamanii yaani pumzika yangu nikiwa nje na nyumbani π¬Lol bado bado kidogo kama hakuna sababu ya msingi usimuachishe mapema mi jr aliacha akiwa na mwaka na miezi 5 nilienda marking NECTA 3 weeks! Kurudi haaaa kwanza mwanzo alinikataaa kama hanijuii na kunyonya keshasahauuu!
Ooh jamaniJirani, kila ijumaa lazima tutoe masterpiece![]()
hi broHallo guysπ
How are you doing cctahi bro
Karibu jikoniiOoh jamani
Im obsessed with baking
Unaniachia msala ujueπ²
Anichambe? Una maanisha nini?Kila ntakapokuona nakulima zingine.
Na nimemtuma Cocah akuchaambe.