Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na ile sextape ndo ilimpa umaarufu Kim alipoivujisha

Kardashian family wanapenda sana kutafuta umaarufu kwa ajili ya biashara yao ya reality tv shows

Hahaa huku bongo manzi anatumia mbususu kama silaha kwa kumnyima unyumba jamaa yake
Alikuwa personal stylist wa Paris Hilton .
Reality huwa nzuri sana , zipo addictive na ukifuatiliwa ni nzuri , a lot of drama .

Bongo hapa bado sana , kunyima mzigo ndo njia ya kupata hela 😂😂
 
Umri huo ushakuwa mtu mzima
Yahitajika kama hujaolewa uwe na stable partner , usihangaike kama kuku .

Pia ke sie uzuri unaenda umri , ulivyo 20 mrembo haitakuwa hivyo ukiwa 30 .

Muda ni mchache hivyo kwenye fertility , uko likely kuproduce eggs nyingi kwa 20 hadi 30's baada ya hapo wanasema kizazi kinasogea .
 
Umri huo ushakuwa mtu mzima
Yahitajika kama hujaolewa uwe na stable partner , usihangaike kama kuku .

Pia ke sie uzuri unaenda umri , ulivyo 20 mrembo haitakuwa hivyo ukiwa 30 .

Muda ni mchache hivyo kwenye fertility , uko likely kuproduce eggs nyingi kwa 20 hadi 30's baada ya hapo wanasema kizazi kinasogea .
Hata wasikutishee mwayaaa, maisha ni vile unaishiii, ukisikiliza ya waja mbna utapotea.
 
😂😂 nianze kuandaa na kapilipi.

Hiyo mixer huku Kaskazini ni hapana papikwe pilau bila ndizi 😍
You know it!!!!🤩

20230518_205426.jpg


Njoo kabla sijalamba sufuria!😁
 
Back
Top Bottom