Alikuwa personal stylist wa Paris Hilton .Na ile sextape ndo ilimpa umaarufu Kim alipoivujisha
Kardashian family wanapenda sana kutafuta umaarufu kwa ajili ya biashara yao ya reality tv shows
Hahaa huku bongo manzi anatumia mbususu kama silaha kwa kumnyima unyumba jamaa yake
Asante nimeyapokeaUnipokelee haya 💐🌹🥀🌺
Umri huo ushakuwa mtu mzimakwann??
Hata wasikutishee mwayaaa, maisha ni vile unaishiii, ukisikiliza ya waja mbna utapotea.Umri huo ushakuwa mtu mzima
Yahitajika kama hujaolewa uwe na stable partner , usihangaike kama kuku .
Pia ke sie uzuri unaenda umri , ulivyo 20 mrembo haitakuwa hivyo ukiwa 30 .
Muda ni mchache hivyo kwenye fertility , uko likely kuproduce eggs nyingi kwa 20 hadi 30's baada ya hapo wanasema kizazi kinasogea .
Asante kipenzi mie sijali sana 😂😂 , God's timing ndo muda sahihi .Hata wasikutishee mwayaaa, maisha ni vile unaishiii, ukisikiliza ya waja mbna utapotea.
Mie na G tuko poaaah.A
Asante kipenzi mie sijali sana, God's timing ndo muda sahihi .
Hamjambo na G





You know it!!!!🤩😂😂 nianze kuandaa na kapilipi.
Hiyo mixer huku Kaskazini ni hapana papikwe pilau bila ndizi 😍
kama kawaida yetu tunasuuza koo kwanza kabla ya main course😂
Sasa je.....🙈🙈🙈kama kawaida yetu tunasuuza koo kwanza kabla ya main course😂
mzee najua hapa umefall in love😅 SDY wa kimataifa....
Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
HayarerrrTuma number uone
Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
Haya Raha hiyoTuma number uone
Waongeze kodi kwenye make ups
Weuweeh couple ya maana hiiMie na G tuko poaaah.
Engs na couple yetuu ya kibabeee, afu haturingi wala nn.
Tutazaa watoto Engs na DRs.![]()
Nyama imetuliaaa 😋😍😍 naja fastaaa na kontena la matikiti 😂😂