Yaaaaan upweke tatzo kubwa tenaNi kuomba tu neema ya Mungu
Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
πππYa nn yote JamaniMapenz yakamtesa zaidππ
ππππππππYes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .
Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .
its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,
Napenda ule mstari kwa nini mnajisumbukia kuwa mtakula mini , mtavaa nini ,
πππEt kuita preshaYaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
πππJinga Sana πππ
ππππππ Eeeeh sasa unataka kutolewa upweke badala yake unatundikiwa drip la presha πππππEt kuita presha
A good example is job , baada ya kupata majaribu yote Yale hakukata tamaa ,aliweka Tumaini kwake Mungu . despite any situation you're facing God is bigger.kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
ππIla maisha hayo fairππππππππ Eeeeh sasa unataka kutolewa upweke badala yake unatundikiwa drip la presha ππ
Unarud nyumban 5pm
Inabid unazurura bila mpango
Ili urud 10pm ππππ
nikifika 27 huko ntaanza kuwaza kuhusu watotoπ wacha nile bataA good example is job , baada ya kupata majaribu yote Yale hakukata tamaa ,aliweka Tumaini kwake Mungu . despite any situation you're facing God is bigger.
Zaburi 23:4
Nijapopita katika bonde la uvuli wa mauti , sitaogopa mbaya
violenceπ
Upweke mbaya sana , maana uzee huko ni kukaa , kulea wajukuu ,kwend vikao etc .Yaaaaan upweke tatzo kubwa tena
Zaid Ila sasa unatafta wakutoana upweke
Badala yake unakuta umeita pressure
Ndo tatzo zaid vijana wengi me/ke
Wote n shida kila mmoja anavutia Ngoma upande wake
Them go feel itπππ
ni davido tu unasikiliza πThem go feel it
Them go run it now
Them go hold it
Them goππ
Simameni nafasi yenu , unajua ukishaanza kusema ndoa ni ngumu sijui vile .. Tayari umeweka hofu ndani yako . . akili yetu iko programmed ukiiambia hivi nayi inashika hivyo hivyo .ππππππππ
Ingekua tukifka ndan mambo yanaendela kua hiv na Iman kila mmoja angekua
Kwenye ndoa na zingedumu sana
Hehheee kumbe ππnikifika 27 huko ntaanza kuwaza kuhusu watotoπ wacha nile bata
Kwan dear now Una 30s??Hehheee kumbe
wakati nipo early twenties uniambie mambo hayo sikuelewi , ukifika hapo mid 20's akili inakusnitch , unahitaji kuwa na mtu . ukieendelea late 20's hapo ndo kabisa unatamani ndoa tu
saivi wacha niruke ruke ili nikija kuoa nisiwaze kucheat πHehheee kumbe ππ
wakati nipo early twenties uniambie mambo hayo sikuelewi , ukifika hapo mid 20's akili inakusnitch , unahitaji kuwa na mtu . ukieendelea late 20's hapo ndo kabisa unatamani ndoa tu ππ
Hehhee kwamba utakuwa mwaminifu .saivi wacha niruke ruke ili nikija kuoa nisiwaze kucheat π