Selfika na JF: Snap it. Show it

Alojiungaa 2016 humuuuu🤔🤔🤔🤔 kuna 1 Grahams mwingineeee🤔🤔🤔 ngoja nitafutee😂😂😂😂🤣🤣!
Umbeaa kaziii walaiii😂😂😂😂
Mimi nipo humu tangu miaka ile ukitaka kutuma barua pepe unalazimika kwenda Internet cafe 🤗

Kwahiyo tumetoka mbali sana na hii Jambo forum 🙌
 
Ngoja nizipakue.
Zipo vizuri sana....

Zinanikumbusha miaka ile ya UKWATA tukienda kuabudu shule zenye girls tupu vile boys tunajitahidi kuimba kwa hisia ili kuweza kupata wa kukutumia barua ambayo utawasomea wenzako Bwenini baada ya kutoka Prepo 🤗

Kweli tumezeeka sasa 🤪🙌
 
Wanaume hawa 😂😂
Tunawapenda ila wanavyotuset
Kakubembelezea kidogo unaingia line
😂😂Kipenz ndo maana walisemaga moyo wa mtu kichaka unakuwa hujui nn kipo au nn kitatokea muhimu kuangalia nafas Yako akikupenda nawe penda Kwa moyo wako wote ikitokea tatizo la kiufundi bas ujue mudawako umeisha ametafutw mwenzio Hao ndo wanaume😂
 
Hakika aisee , unaachwa mchana kweupe .
Vipi umeamkaje ?
 
Greetings in the name of Yanga💛✌️
💝💓💖💖💖💖💖💝💗💗💗❤️❤️💜💚💚💚💚💚💞💞💕💘💘💞💞💞💯💝💓😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 Duuh jomoni auntie akeee Antonnia 🤗🤗🤗🤗🤗🤗

Auntiee zuri la jf, umeona sasa ulivyo na sura nzuri alafu jana ulikuwa unajinadi ooh sura ya baba kaone kwanza katoto hako ☺️☺️☺️☺️☺️

😃😃😃💜💜💜🎉🎉 Daah cheupe dawa
 
😂😂Et mchana kweupe Inaumizaga ila hatupaswi kulazimisha tunaowapenda wabaki ikiwa wanatak kuondoka
Nimeamka poa kipenz vip wew
Yeah japo si rahisi , unabaki na majonzi plus huzuni moyoni .

Ni vile muda ni jawabu zuri
Nipo okay pia !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…