Zinanikumbusha miaka ile ya UKWATA tukienda kuabudu shule zenye girls tupu vile boys tunajitahidi kuimba kwa hisia ili kuweza kupata wa kukutumia barua ambayo utawasomea wenzako Bwenini baada ya kutoka Prepo 🤗
😂😂Kipenz ndo maana walisemaga moyo wa mtu kichaka unakuwa hujui nn kipo au nn kitatokea muhimu kuangalia nafas Yako akikupenda nawe penda Kwa moyo wako wote ikitokea tatizo la kiufundi bas ujue mudawako umeisha ametafutw mwenzio Hao ndo wanaume😂
😂😂Kipenz ndo maana walisemaga moyo wa mtu kichaka unakuwa hujui nn kipo au nn kitatokea muhimu kuangalia nafas Yako akikupenda nawe penda Kwa moyo wako wote ikitokea tatizo la kiufundi bas ujue mudawako umeisha ametafutw mwenzio Hao ndo wanaume😂