Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mashavu kama mashavu ptuuuu !!

Mie nishazeeka ankoli akee nasubiria kulea wajukuu tyuuu!!
Komaa na makinda saizi yakoo ndio wanakufaaa kwa akili yako hio Mbili kasoro πŸ€£πŸ€—
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Daaah sema kweli hizi akili zangu ni Mungu tu anazijua 🀣🀣🀣🀣🀣

Hata hapa chuo sijui nimefikaje, 😝πŸ€ͺ

My friend
congrats mammy
 
Serious auntiee I'm not jocking niziweke hapa hapa sio πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰ ntafurahije jomoni sema huyu madam ni mkali duuh sijui kwann asije kunilima block 😁😁😁😁😁😁😁
Serious auntiee I'm not jocking niziweke hapa hapa sio πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰ ntafurahije jomoni sema huyu madam ni mkali duuh sijui kwann asije kunilima block 😁😁😁😁😁😁😁

Mbantu mbona mzunguuuu sanaaa afu hanaga uswahiliiii Kabesaaa labda wewe uwe unamchamganyia mafile tyuu yee hana shida kabisa!!
 
Kwa hiyo sisi wakaka hutupendi?
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Sisi tunakupenda hata kama hutupendi.......
Hapa nimemuwakilisha Carrasco putinn
Nawapenda pia kaka zangu.
Why umuwakilishe huyo na sio mwingine?
 
Sasa watoto wanalilia wembe afanyaje hahaha!

Mimi mwenyewe chino nisingewaacha
Yule muhuni ananichekeshaga sana alafu ubaya, kuna ile style yake ana zama kwenye thread yule demu anayemtaka ndo ana like comment yake anakaa wee kama week 3 anatupa vocal pm yske ipogo wazi daily kwaiyo mademu huku wanazama tu,

Wengine mpaka, wana naniliiu kabisa wanawekwa mtungo duuh jamaa ananichekeshaga sana ila kwa yule

Naniliuu alifeligi sijui alikwama wapi sema huyo nanilliu ana misimamo kweli


Sema hawa wajinga wengine jamaa anawaweka tu,

Daaah yaani muda mwingine ukijua vingi ni shida nisije nikajaza server humu acha niishie hapa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Daaah sema kweli hizi akili zangu ni Mungu tu anazijua 🀣🀣🀣🀣🀣

Hata hapa chuo sijui nimefikaje, 😝πŸ€ͺ

My friend
congrats mammy
Thank you kichaa akee πŸ€—πŸ˜Š!
 
Yule muhuni ananichekeshaga sana alafu ubaya, kuna ile style yake ana zama kwenye thread yule demu anayemtaka ndo ana like comment yake anakaa wee kama week 3 anatupa vocal pm yske ipogo wazi daily kwaiyo mademu huku wanazama tu,

Wengine mpaka, wana naniliiu kabisa wanawekwa mtungo duuh jamaa ananichekeshaga sana ila kwa yule

Naniliuu alifeligi sijui alikwama wapi sema huyo nanilliu ana misimamo kweli


Sema hawa wajinga wengine jamaa anawaweka tu,

Daaah yaani muda mwingine ukijua vingi ni shida nisije nikajaza server humu acha niishie hapa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
We mzee inaonekana library kwako umejaza ma file kibao.

Lakwangu halijakufikia kweli hapo
 
Mbantu mbona mzunguuuu sanaaa afu hanaga uswahiliiii Kabesaaa labda wewe uwe unamchamganyia mafile tyuu yee hana shida kabisa!!
Hahaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£ napendaga kumtania sana maana nilivyojiungaga humu yy ndo alikuwa mtu wa 1 kumtania kule jf usiku wa manane anyway sawa auntiee
 
Yule muhuni ananichekeshaga sana alafu ubaya, kuna ile style yake ana zama kwenye thread yule demu anayemtaka ndo ana like comment yake anakaa wee kama week 3 anatupa vocal pm yske ipogo wazi daily kwaiyo mademu huku wanazama tu,

Wengine mpaka, wana naniliiu kabisa wanawekwa mtungo duuh jamaa ananichekeshaga sana ila kwa yule

Naniliuu alifeligi sijui alikwama wapi sema huyo nanilliu ana misimamo kweli


Sema hawa wajinga wengine jamaa anawaweka tu,

Daaah yaani muda mwingine ukijua vingi ni shida nisije nikajaza server humu acha niishie hapa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Wee ankoli nakujaaa tsup unipe huu ubuyu walaiiii sio kwa code ngumu hiziiii sio kwa mitungoo hioo walai Bantu Lady hauna hili file kwanii??πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ
 
Rafiki, nacheka kama mazuri lkn asee misijui hatma ya huyo X ikoje acha nikae kimya tena hiyo crew yake ndo hatari zaidi kuna 1 analala na naniliiu kapangisha ghetto kabisa naniliiu alijiunga 2016 humu kazi kwako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… na leo nimemfata pm kidogo aniachie sema ni ka vunga tu 😊😊😊
Alojiungaa 2016 humuuuuπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” kuna 1 Grahams mwingineeeeπŸ€”πŸ€”πŸ€” ngoja nitafuteeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£!
Umbeaa kaziii walaiiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom