Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,843
Kwa hiyo serikali imewalipa? Kuna yule mwingine alikuwa anajenga nadhani apartment naye alilipwa?Wanasema hapakuwa na shida awali. Ujenzi wa mradi bomba kubwa kutoka basihaya kupeleka maji baharini na bomba lenyewe liakishia mitaa hio bila kufika baharini ndo ilikua chanzo. I guess mwenye hilo eneo alifile kesi na amelipwa tayari
