Selfika na JF: Snap it. Show it

Ah hakika
Upo vizuri kwa neno ..

Mathayo 6:19-21​

Mathayo 6:19-21 BHN​

β€œMsijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.

Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba. Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa .
 

Mhubiri 1:14 BHN​

Nimeyaona yote yanayofanywa duniani; yote ni bure: Ni sawa na kufukuza upepo!


1 Timotheo 6:10 BHN​

Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…