Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Watoto wa elfu mbili mmeanza kuingia kwenye twente
Watoto wa elfu mbili mmeanza kuingia kwenye twente
Ile mbona rahisi, hujapata mwalimu mzuri, jioni utakuwa unakuja nakufundisha mpaka asubuhi, utaelewa tu.Geography physical Geog,utachapa hadi uniue🤣
Nitafutie shule nzuri nianze mdogo mdogo angalau nifike form four jamani.
Nataka nikasome urubani kama wewe CaptainIle mbona rahisi, hujapata mwalimu mzuri, jioni utakuwa unakuja nakufundisha mpaka asubuhi, utaelewa tu.
Nalifanyia kazi hilo.
Usisahau kusimama tununue mahindi ya kuchoma😂😂😂Nataka nikasome urubani kama wewe Captain
Ntakuwa natua ndege msituni kuchimba dawa🤣
, 😋😋😋😋😋😋☺️❤️😘😘😘😘 Nice auntie
Ndio urithi wetu 😁😁
Hio cake hujapika kwa ajili ya Carrasco putinnMaisha ni hayahaya
Njoo tuonje keki😁
Nilimiss kulakula keki hadi nikaamua kupika
Nitakutengenezea top nzuri yenye picha ya Salah 😁😁😁
Picha ya mwaka gani hii???
Maisha marefu Kijana 🍾🍾🍾🥂🎂
'54Picha ya mwaka gani hii???
Enzi za black and white????? 🤣🤣🤣🤣
🙆Asee endelea tu kuimba nyimbo za injili na kipika cake..😆😅Nataka nikasome urubani kama wewe Captain
Ntakuwa natua ndege msituni kuchimba dawa🤣
Sasa yale maongezi yetu vipi?
Mzungumzaji sindo wewe......? 🙄Sasa yale maongezi yetu vipi?