Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Na sikuhizi sentesi zake fupi fupi tuMwenyewe nashangaa ujue
Hana maneno mengi sana Kama kina chino
Na sikuhizi sentesi zake fupi fupi tuMwenyewe nashangaa ujue
Jitahidi tu apende/afurahie kwenda shule. Hiyo ndio hatua ya kwanza kuelekea kwenye uelewa/ufaulu mzuri maana hatohitaji kusukumwa sana.😀😀Kwakweli mm nawish mwanangu awe kipanga lkn mamaake nilirogwa kwenye hesabu yaani ni huzuni hesabu kumi naweza kupata tatu😂😂😂nitalipa ada tu kama @wigeleko
Kweli kabisa akipenda shule itamsaidia sana mtoto kuwa vizuri na ni rahis hata kumsaidia sehemu zunazompa changamotoJitahidi tu apende/afurahie kwenda shule. Hiyo ndio hatua ya kwanza kuelekea kwenye uelewa/ufaulu mzuri maana hatohitaji kusukumwa sana.
😀😀😀Haha embu tuliza boli dogo
Halafu akipotea kidogoNa sikuhizi sentesi zake fupi fupi tu
Hana maneno mengi sana Kama kina chino
Kabisa!!Kweli kabisa akipenda shule itamsaidia sana mtoto kuwa vizuri na ni rahis hata kumsaidia sehemu zunazompa changamoto
Appreciated!🤗
Polesana 😀Kabisa!!
Mi niliwahi kuchukizwa shule nilisusa 🙈 mpaka nilivyoamua sitaki tena kuachia namba yangu.
Kuna mda mnatoa majibu ya shombo kwa wazazi eh?Polesana 😀
It was a good experience.Polesana 😀
Haijawahi tokea na haitokuja itokee siwez kufanya hivoKuna mtu mnatoa majibu ya shombo kwa wazazi eh?
Haha ukijaribu uko Ni mwendo wa gamboshi
Ni kweli inacost sana muhimu ni Kuishi ukiwa unaangalia Unachotaka sio wanachotak watu wengine,Kuna maudhi somtym ila ni kuacha tu yapite kunawatu wanaweza kufanya upite njia isiyo yakoIt was a good experience.
Ilinifanya niamue kwamba sitokaa nifanye maamuzi yanayonihusu based on other people's actions. Na ndio philosophy yangu mpaka kesho.
Cute mashallahSi Jumanne ishafika.....🤔View attachment 2614929
Selfika auntNjooni tuselfike
Ondoa ua basi mremboSi Jumanne ishafika.....🤔View attachment 2614929
Kazana na codes 😁Ondoa ua basi mrembo
Ondoa tu chap hamna watuKazana na codes 😁
Ikibidi ongea na CHATGPT akusaidie.🤓