Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀Kwakweli mm nawish mwanangu awe kipanga lkn mamaake nilirogwa kwenye hesabu yaani ni huzuni hesabu kumi naweza kupata tatu😂😂😂nitalipa ada tu kama @wigeleko
Jitahidi tu apende/afurahie kwenda shule. Hiyo ndio hatua ya kwanza kuelekea kwenye uelewa/ufaulu mzuri maana hatohitaji kusukumwa sana.
 
It was a good experience.
Ilinifanya niamue kwamba sitokaa nifanye maamuzi yanayonihusu based on other people's actions. Na ndio philosophy yangu mpaka kesho.
Ni kweli inacost sana muhimu ni Kuishi ukiwa unaangalia Unachotaka sio wanachotak watu wengine,Kuna maudhi somtym ila ni kuacha tu yapite kunawatu wanaweza kufanya upite njia isiyo yako
 
Back
Top Bottom